kiwango chake kama mo banka tu.Kumbe anapiga pasi ambazo song alikuwa anazipiga Mzee, halafu pale united sidhani kama kuna namba aipendayo ambayo hajachezeshwa. Mou kuna kipindi alijaribu kumbadilisha ktk maeneo tofauti tofauti pengine angeona ubora wake ila jamaa akawa hana consistency.
Kibri!Kwanini Ferguson hakumuongezea mkataba huyu dogo kipindi Kile anaondoka?
teh teh tehKwanini Ferguson hakumuongezea mkataba huyu dogo kipindi Kile anaondoka?
Sisi huwa tutatumia wachezaji halafu tunawauza ..uoni tumewapa LuizHahahahaaaaaa mbona mlimuuza sasa
Aise Pogba unamuita goigoi?? Huoni anavyokichafua pale France!! Uyu Pogba ni kwamba hana mzuka na OT tena ..subiri asepe ndo utaona umuimu wake ..Paulo ni moja ya viungo bora sana kweny mpira wa sasa ..Sema timu anayocheza ndo inamuangusha..De brune anamzidi pogba huo ndo ukweli, jamaa ni fighter Sana, anafunga ana assist, na anakaba kinoma, pogba ana kipaji ila Hana jitihada, goigoi Sana, kiuchezaji bado pogba ana akili za kitoto, De brune ni mapafu ya mbwa jamaa ni non stop na ananyooka fito hatariii
naunga mkono hoja yakoAise Pogba unamuita goigoi?? Huoni anavyokichafua pale France!! Uyu Pogba ni kwamba hana mzuka na OT tena ..subiri asepe ndo utaona umuimu wake ..Paulo ni moja ya viungo bora sana kweny mpira wa sasa ..Sema timu anayocheza ndo inamuangusha..
Manchester inamuhitaji De Gea kuliko yeye anavyohiitaji ..kwa sasa Hamna option bila De Gea mutapata tabu nyingi..Manchester ilikuwaje bila De gea?
Kepa ana namba Spain uko ..wee endelea kupiga mboyoyo Leno atabaki kwenye first XI ya arsenal tu..Huyu dogo bado ni type ya kina kepa arizabalaga , Alipigiwa promo sana za kutaka kuuzwa bei kubwa na Wakala wake mino raiola ,
Daaa Mzee unampenda sana Agent P! Ha ha ha
Na Martial pia kumbe unamuelewaMimi siipendi Manchester as Manchester na sio wachezaji wa Manchester, Current players have nothing to do with our historical background
Kwahiyo Pogba na Martial ninawakubali sana
View attachment 1200494
Premier League clubs are set to get rid of the early closure of the summer transfer window. United along with a growing amount of other clubs want to return to the previous system.
Kwamba muda ni mfupi au? What is logic here?
Mchezaji unatakiwa ujibrand hata kama timu inaenda mrama bado unatakiwa uoneshe ya kwamba we ni world-class player, wengi tumesoma shule za Kata enzi hzo unakuta walimu watatu na NECTA ni jiwe , lakni kuna wababe walikuwa wanachomoka na dv 1 au 2, hawahitaj mazingira kuwin battle, ....kama Pogba mpak awekewe mazingira maalum ndo aonekane bas huyo sio world-class player , ni mchezaji tu wa kawaida kama shishimbi mwenye majonjo mengiAise Pogba unamuita goigoi?? Huoni anavyokichafua pale France!! Uyu Pogba ni kwamba hana mzuka na OT tena ..subiri asepe ndo utaona umuimu wake ..Paulo ni moja ya viungo bora sana kweny mpira wa sasa ..Sema timu anayocheza ndo inamuangusha..
There you talk manMchezaji unatakiwa ujibrand hata kama timu inaenda mrama bado unatakiwa uoneshe ya kwamba we ni world-class player, wengi tumesoma shule za Kata enzi hzo unakuta walimu watatu na NECTA ni jiwe , lakni kuna wababe walikuwa wanachomoka na dv 1 au 2, hawahitaj mazingira kuwin battle, ....kama Pogba mpak awekewe mazingira maalum ndo aonekane bas huyo sio world-class player , ni mchezaji Tu wa kawaida kama shishimbi mwenye majonjo mengi
Kante, Debruine ni takataka?Endelea kumkosea heshima Pogba kwa kumfananisha na hizo takataka