Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Serie A ni ligi ambayo beki wanakaba sana, it's not an open play style league. Striker anaefunga sana Serie A naamini akija EPL au akaenda La Liga lazima ang'are zaidi
Stori za kijiweni hizi na zilishapitwa na wakati
 
Mhuuu kweli ungejilipua hadi Marchisio
 

Pogba ni moja ya sajili mbovu kabisa Man Utd walizowahi kufanya, Kinachonishangaza mimi nikua bado club inamng'ang'ania badala ya kumpiga bei akenda kuripukia mbele.
Management ya Man UTD ina matatizo sana aisee
 
Pogba ni moja ya sajili mbovu kabisa Man Utd walizowahi kufanya, Kinachonishangaza mimi nikua bado club inamng'ang'ania badala ya kumpiga bei akenda kuripukia mbele.
Management ya Man UTD ina matatizo sana aisee
pogba ni hatari man u hakuna mchezaji wa level yake ya kidunia, pale ufaransa akikutana na level Yake Blaise na N'golo utajua pogba ni world class
 
pogba ni hatari man u hakuna mchezaji wa level yake ya kidunia, pale ufaransa akikutana na level Yake Blaise na N'golo utajua pogba ni world class

Hapana kitu, Timu tu inambeba pale. Binafsi Mimi nashindwa kufahamu Pogba sifa yake ni nini ndani ya uwanja. hufahamu jamaa ni midfield wakushambulia kuzuia wala kuchezesha. Hana sifa ya popote.
 
Yaani epl ni matatizo makubwa jamani
.

Angalieni waitaliano watakavyo wafaidi mikh na Sanchez
Lukaku tayari tumeshaona shughuli yake huko.
 
Yaani epl ni matatizo makubwa jamani
.

Angalieni waitaliano watakavyo wafaidi mikh na Sanchez
Lukaku tayari tumeshaona shughuli yake huko.
Kama kuna watu wanapata tabu kwenye
Soka wakat huu n Sanchez Na neymar
Wanataman kurud waliotoka
 
pogba ni hatari man u hakuna mchezaji wa level yake ya kidunia, pale ufaransa akikutana na level Yake Blaise na N'golo utajua pogba ni world class
Hakuna kitu kama hicho..huitaji kuzungukwa na world class players wote ili wewe ujionyeshe kuwa ni world class..

Pogba madoido yake anayoyafanya na kupoteza mpira mara kibao kwenye mechi hilo hatuwezi kulikubali..hatuwezi,nasema hatuwezi..
 
Pogba ni moja ya sajili mbovu kabisa Man Utd walizowahi kufanya, Kinachonishangaza mimi nikua bado club inamng'ang'ania badala ya kumpiga bei akenda kuripukia mbele.
Management ya Man UTD ina matatizo sana aisee
Usajili mwingine mbovu n huu wa juz
Aseno kwa Pepe cjui Nan aliwaingiza hili chaka
 
Sio tunajifanya ni kwamba Man u ndio team yenye mashabiki wengi duniani hilo weka akilini mwako.
 
Pogba ni moja ya sajili mbovu kabisa Man Utd walizowahi kufanya, Kinachonishangaza mimi nikua bado club inamng'ang'ania badala ya kumpiga bei akenda kuripukia mbele.
Management ya Man UTD ina matatizo sana aisee
Sio Siri huyo mwamba anazingua Sana, madoido kibao, analoose mpira linaanza kukimbia kimbia tu uwanjani, na likienda kukaba ujue hyo ni faulo tayar
 
Binafsi nimejizuia sana kuongea kuhusu OGS, Pogba na Lukaku kama ilivyokuwa kwa Mourinho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…