Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Club tajir namb 1...tatzo nn sijui aya tukamkosa Pepe, man u inaongoza kwa tetes za usajir pia hv kwann Man u ata ishindanie mchezaj na na timu ndog km Watford au Burnley basi mchezaj atakwend uko sio Man
Mchezaji gani alikataa kuja utd akaenda Burnley + Watford mkuu?
 
√Mnaomtaka Sanchez abaki sababu zenu ni zipi??

√Alikuwepo hapa kwa muda, amefanya nini??

√Martial kaumia,sasa ni bora tumpe nafasi Greenwood ambaye analeta matumaini kuliko huyu Sanchez..sijui ni kitu gani kimempata huyu jamaa


Hii timu ni ya kujengwa na haiwezi kujengwa over a night..lazima tujaribu kusafisha deadwoods taratibu..hata kama Ole hatafanikiwa basi kocha ajae itakuwa kazi rahisi kwake..Japo anaenda kwa mkopo lakini mimi naona sawa tu

No Sanchez no worry..maana hata akiwepo hakuna anachoongeza zaidi ya kutukasirisha tu..

Hayo ni maoni yangu..
 
Kuondoka kwa Sanchez pale OT hakutapunguza chochote uwanjani kwa sababu hata uwepo wake haukuleta chpchote pia.
 
Kwahiyo Madrid wameshaweka ofa kwa Bruno Fernandez au ni rumours tu za magazetini ?
Yamefanyika mawasiliano kati ya wawakilishi wa Real Madrid na Wakala wa Bruno pamoja na kwamba tayar Sporting walishasema kias cha fedha wanachotaka ( na kinafikika) hivyo ni on-going process hadi hapo spt 2 itajulikana rasmi atakua ameshajiunga au lah.
 
Huu msimu nauona ndio utakua mbaya kuliko misimu yote ile toka fergie aondoke
 
Katika kipindi hiki ambacho hatuna Lukaku na hakuna usajili uliofanyika kuziba pengo lake,kusema Sanchez hana umuhimu ni kucheza kamari.

Timu haina namba tisa halisi, Martial na Rashford hawa sio #9 halisi. Sanchez alicheza kama #9 kwa mafanikio pale Arsenal.

Fikiria Martial ameumia,hatokuwepo mchezo ujao. Mchezo ujao aumie tena Rashford awe nje kwa miezi kadhaa, hapa si unamaliza nafasi ya 13? Utamtegemea Greenwood kama mshambulizi pekee akufanye umalize top4?

Hawa watoto sio wa kutegemea kwa kiasi kikubwa kama unavyotaka tufanye mkuu. Greenwood mpe dakika 10 za mwisho wakati unaongoza,akiingia kwa presha ndio mipira itakuwa ikimgongagonga mpaka anachanganyikiwa.

Nasubiri, mpaka December Ole atakuwa ameshaanza kusukumiwa jumba bovu.
 
Bado najiuliza kwanini Uingereza wamekimbilia kufunga dirisha la Usajili mapema hivi.

Sababu ni zipi labda?
 
Wakati tatizo lipo kwa wamiliki na mwajiri wao Ed.
 
Sanchez kaondoka lakini bado anakunja zaidi ya pauni 250k uku inter wakikubali kulipa 150k ivyo mkataba wake wa mkopo ukiisha atarudi tena kumalizia miaka yake miwili uku akiendelea kukunja zile zile pauni 400k(zaidi ya Tsh billion 1.1) kwa wiki..

Uyu Sanchez sisi Man united tulipigwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…