Msimu huu kuna baadhi ya team zinaweza kukusababishia magonjwa ya kisukari, pumu, ugonjwa wa moyo na mengineyo. Hivyo ni vyema ukaachana nazo kuzishabikia.
Kuna mtu alinibishia sana kwamba lukaku kuuzwa ni sahihi nafikir kajionea leo
Martial hawez kuwa striker bado anasumbuka kucontrol mpira anapoteza hovyo mipira ni bora kubak na lukaku anaweza kukupa msaada mipira ya vichwa kuliko kubak na mtu wa kudrible