Mkuu unasubiri mechi ya 5 ipi? Mbona ameonesha uwezo wake katika mechi zaidi ya 100,akiwa Shefield, Hull, Leicester, Three Lions na sasa United?Namzungumizia nilivyomuona ktk ile mechi ,hizi statistics zitawaponzen, maana kwa statistics mustafi anakimbizanaga na kina vvd lkn ndio beki mbovu na aliyetemwa pale arsenal msimu huu, sasa ww kimbilia statistics wakati wahafidhina tunaangalia movement n.k ,Maguire ni mzito ,hiyo weakness yake ndio inanipa wasiwasi , subir baada ya mech 5 tu , nitakupa tathmin fupi.
Timu yao si mbaya licha ya kupoteza mechi 2. Yule Kante anakuwa maeneo yote ya I wanna unapokuwa mpira. Work rate yake ni kubwa sana (tunaongea kimpira sasa)Kiungo ya Chelsea itakuja kuwa bora sana Siku za mbeleni. Tena ndan ya msimu huu huu..
City mid yao haitishi kiivowakati huo City inashiriki Major League Soccer au Super league ya Uchina.
Lingadipogba ni fumbo la imani
Hivi inavyodaiwa kwamba OGS anataka wachezaji wanaopenda kuichezea MUFC huwa anamaanisha Pogba ni miongoni mwao au?
Ole muoga wa kucoach wachezaji wenye majina kama Pochettino.
Hivi inavyodaiwa kwamba OGS anataka wachezaji wanaopenda kuichezea MUFC huwa anamaanisha Pogba ni miongoni mwao au?
Ole muoga wa kucoach wachezaji wenye majina kama Pochettino.
Vituko anavyofanya Pogba unatamani hata auzwe tu timu ibaki na wachezaji wanaotamani kuwa pale. Kiufupi Pogba analazimishwa kuwa pale tu,moyo wake haupo pale. Timu yetu ni mbovu kwasababu iliona kabisa Pogba akili yake haipo pale lakini ikaacha kununua viungo watakaoweza kusimama Pogba atakapoleta mbwembwe. | |
Labda amekosa mbadala
Hivi inavyodaiwa kwamba OGS anataka wachezaji wanaopenda kuichezea MUFC huwa anamaanisha Pogba ni miongoni mwao au?
Kuna wakati naona bora asiuzwe (angalau kwa msimu huu) ili apate maumivu ya kucheza timu anaidhalikisha
Vituko anavyofanya Pogba unatamani hata auzwe tu timu ibaki na wachezaji wanaotamani kuwa pale.
Kiufupi Pogba analazimishwa kuwa pale tu,moyo wake haupo pale.
Timu yetu ni mbovu kwasababu iliona kabisa Pogba akili yake haipo pale lakini ikaacha kununua viungo watakaoweza kusimama Pogba atakapoleta mbwembwe.
Kuna wakati naona bora asiuzwe (angalau kwa msimu huu) ili apate maumivu ya kucheza timu anaidhalikisha
He should be punished some how for the way he is treating United
Mou alikuwa sahihi sana, vyote alivyolalamikia vinajidhihirisha kwa kasi. | |
jamaa amechafua tena hali ya hewa au?Kuna wakati naona bora asiuzwe (angalau kwa msimu huu) ili apate maumivu ya kucheza timu anaidhalikisha
He should be punished some how for the way he is treating United
Pogba kafanyaje tena ?
Vituko anavyofanya Pogba unatamani hata auzwe tu timu ibaki na wachezaji wanaotamani kuwa pale.
Kiufupi Pogba analazimishwa kuwa pale tu,moyo wake haupo pale.
Timu yetu ni mbovu kwasababu iliona kabisa Pogba akili yake haipo pale lakini ikaacha kununua viungo watakaoweza kusimama Pogba atakapoleta mbwembwe.
Kabisa
Mou alikuwa sahihi sana, vyote alivyolalamikia vinajidhihirisha kwa kasi.
Kama kawaida yakejamaa amechafua tena hali ya hewa au?
inayotisha ni ipi instead?City mid yao haitishi kiivo
hebu prove kauli yakoOle muoga wa kucoach wachezaji wenye majina kama Pochettino.
Pogba kafanyaje tena ?
Safari hi Ni kaka yake Kuna interview kaongea pogba hataki kuwa man U, na pogba ameipost insta.Wazee pogba kafanyaje tena??