Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sorry, Mbugila ina maana gani
Asante sana kwa kuuliza Mkuu ..


Mbugila ni Jitu lililokimbia kitanda Wodi za hospital ya vichaa milembe pale mkoani Dodoma .. Kafika kwao kapokonya Simu ya Dada yake na kuingia jamii forum anaanza kuita wenzie wapumbavu..


Hiyo ndio tafsiri "Tukuka" "Maridhawa" au tafsiri mujarabu ya neno Mbugila.
 
mfano pale LIVERPOOL Van Dijk akichukua tuzo ya Europe maana yake nini? timu yake inashambuliwa sanaaaàaaaa.

tatizo letu sisi tuanaangalia negative zaidi, mfano CB akiwa anafunga kama Ramos na kutoa miasisti, kupandisha timu na kuanzisha mashambulizi au kupiga basi za uhakika hiyo inakuwa haitoshi yeye kuwa man of the match?

by the way, man of the match alikuwa Rashford si Maguire5
 
Taahira mama yako fala wewe
 
Wewe uliona performance ya timu ?
 
 
Defence ilikuwa nzuri lakini kiungo ilifuja sana kwa sababu 65% ya mchezo Chelsea walitu outperform
Mechi ya Liverpool nayo kiungo ya Chelsea iliwafunika Liverpool?

Binafsi naona kiungo chetu kilifunikwa sio down to individual Andreas, Scot na Paul bali ni namna Chelsea wanavyo approach game.

Pia inabidi tuweke kumbukumbu sahihi, Chelsea walikuwa bora katikati kuliko United kwa dakika 20 za mwanzo, the rest ilikuwa fifty fifty na mwishoni, United tuliwafunika kabisa.

Ndio maana hata game ya Liverpool, Chelsea walikishika kiungo sababu ya style of play. Siwezi amini kuwa midfielders wa Chelsea ni bora kuliko wa Liverpool
 
Hawa maskaut wapo sahihi kabisa ila mashabik huwa mna mihemko sana , huyo Bruno mashabik wengi mmemuona game hazizid 5, maskaut wamemfatilia msimu mzima.
Tu assume maskauti wapo sahihi na bwana Woodward alikuwa anajua hatumsajili toka mwanzo, kwanini hatujasajili mwengine Sasa? Siamini Kama Bruno hajafaa Basi timu isiendelee kutafuta mchezaji mwengine.
 
Umechambua vizuri. Ingawaje Chelsea tuwape credit wanatia matumaini
 
Quality ya Kante na Joginho ni kubwa sana pale EPL. Ukiwaongeza Kovacic, Barkley na huyu dogo Mount inaonekana wako bora sana katikati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…