Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lingard
Atolewe hana analofanya uwanjan


Rashford pia hana analofanya Uwanjani ...
 
Magwaya na Bissaka watafanya nini leo mbele ya Barkley, Pulisic na Tammy?? Hahaha achilia mbali Geroud, Pedero, na Willian ..hii manure naona kabisa itaoga goli nying sana.

Ktk mech ya leo hao ndio wachezaji bora uwanjani pogba,perrera,scott na lingard wanaongeza idadi ya watu uwanjani msaada wao haupo labda tusubir kipind cha pili
 

Sioni anachofanya rashford ukiacha penat aliyopiga timu bado haina striker rashford hawez kumuweka bench lukaku ila kwa mapenz ya kishabik utaongea hivyo
 
Sioni anachofanya rashford ukiacha penat aliyopiga timu bado haina striker rashford hawez kumuweka bench lukaku ila kwa mapenz ya kishabik utaongea hivyo

Yeye na mwenzie Tony martial kama wapo kwenye mazoezi nachukia Mshambuliaji umeguswa kidogo Mguu, hujaumia mpira upo kwenye position yako unamwita refa na kuacha Mpira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…