Tukutane J2 mkiwa na L'Pool... Hope SUAREZ will finish u up......ADIOUS
Yule sijui ndo 2nd ref au sijui hata ana kazi gani.... Ina maana hakuona Kuwa Valencia kafanyiwa madhambi pale..... Au ndo UEFA nao wanacreate ULAJI tuu... Yaani kaangalia tuu as if Nothing hapenned.....That was a Penalty kabisa... Japo siwapendi UTD but i like Justice....
FT 1-0 Man U kidedea.. Questt umeanimini nilikwepo mwanzo mwisho ee?!! nite
Hii mechi menikutia pabaya Questt nitasikilizia update zako pamoja na wakuu wengine! Go Man U
Mtani unaogopa hata kuangalia mechi? Ha ha ha
Watani lazima mfungwe aisee...afu baadae nahamia arsenal kushangilia their loss...