Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 29,042
- 51,594
Kwahiyo kwa kimya hiki tuseme Ole ameamua kuwaamini Lingard na Rashford sio?
It official. Juve wameshakubali exchange ya lukaku na dyballa
Yap.Kwa hiyo dybala kakubali kuja united?
Bruno will Be Lads Soon , Huyo Dybala bora asije tu.
Wamekubaliana ndiyo ila kimebaki kipengele cha mshahara anachotaka dybl na anataka kiwe kikubwa kuliko alichokua anapata kwa wiki akiwa juve..na inavyoonekana ni kama hawajakutana na Sarri kuongea chcht!Yap.
Narudia tena huyo Dybala hana uwezo wa kumuwekA Bench mata kucheza namba 10 EPL.. Narudia tena EPL .. Narudia Tena EPLWote wa muhimu sana kwa mfumo wa solskjaer lingard anakuwa mbele ya pogba huoni kama tunapoteza hapo? Lingard atakwenda bench nafas yake anakaa dybala lakin KAMA dili likiwa sawa
Pia kumbuka herrera kasepa ukimchukua bruno tu means kikos sio kipana bado
Ndo manake..Kwahiyo kwa kimya hiki tuseme Ole ameamua kuwaamini Lingard na Rashford sio?
MAN U KOMAENI TOTENHAM ANATAKA AWAHARIBIE ,
Kwakweli siwapendi Totenham
BREAKING: Tottenham in talks with Sporting Lisbon over the signing of Bruno Fernandes, according to Sky SourcesView attachment 1169672
Spurs watatushinda kwenye deal ya Bruno
Atletico watatwaa Laliga msimu huuJoao Felix's first three games in an Atletico Madrid shirt:
Two Goals
Three assists
Not bad!View attachment 1170093
Muda utasema.Hapo ndio nitaamini rasmi MUFC imekwisha kabisa.
Fake newsKuna habari kwamba Juve wanataka kutupa pia Mario Mandzukic. Sijui kama ni za kweli.
"He's overrated and overpriced" -They said. United mafala huyu dogo walikuwa na tetesi nae wakaona dau kubwa Atletico kacheza kamari ambayo anaenda kutusua siku sio nyingiJoao Felix's first three games in an Atletico Madrid shirt:
Two Goals
Three assists
Not bad!View attachment 1170093
Dogo mbaya sana huyu anapiga hizo rula na udambwi udambwi mwingi."He's overrated and overpriced" -They said. United mafala huyu dogo walikuwa na tetesi nae wakaona dau kubwa Atletico kacheza kamari ambayo anaenda kutusua siku sio nyingi
Narudia tena huyo Dybala hana uwezo wa kumuwekA Bench mata kucheza namba 10 EPL.. Narudia tena EPL .. Narudia Tena EPL