Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Upeo wako wa kupambanua na kuchakata mambo kwa kina ndipo ulipokomea hapo??..Hivi wewe kitunguu swaumu hujui kwamba Jamii forums ni jukwaa na chombo huru??..kwa nini umpangie mdau jukwaa la kutoa dukuduku lake la moyoni??..

Rubbish!.

Smart guy
Kwenda nyie amna timu zenu
 
Man united imepoteza mwelekeo
 
Ikifika december mashabiki watamgeuzia kocha kibao.

Hii timu haipo serious hata kidogo.

Mchezaji kama Martial msimu wa tatu hayupo serious ila bado unamng'anga'ania.

Ndio maana nasema Pep ni moja ya makocha walio serious, hata ukiwa mtu wa majeruhi anakupiga chini moja kwa moja.

Sisi tunalea majeruhi kama Rojo msimu wa tatu, wachezaji wa hovyo kama Jones, Smalling, Young Lingard au Martial bado wapo kikosini msimu wa nne huu.

Halafu timu kubwa kama United inashangilia kuingia top 4 badala ya kuwaza ubingwa.

Ningekuwa kocha ningemuuza Martial na kumleta Dyabala. Lukaku asingeondoka. Lingard, Smalling, Jones wangeenda kwa mkopo na wasirudi tena.
 
Takribani week umepita toka nisome article ya Manchester evening news walimquote ole akisema "Us Sanchez too can play there (number 9) because the way we play we don't need a 5th 6 inch players it's more about playing as a team"
 

Point
 

Mtazamo wako ni mzur kwa kweli tulitakiwa kuwa na kikosi kipana

Hapo Ander Herrera kasepa hadi muda huu hamma replacement inashangaz sana
 
Spurs have made a move for Bruno Fernandes according to reports in Portugal. They want to beat Man Utd to his signature.
 
Utajiri upi?
 
Habari ya Bruno nayo imezikwa na dyabala!
Napata picha kama tunasajili kibiashara zaidi ndio maana jamaa wanatuweka gizani huku wakiandaa igizo jingine la kupiga piano au gitaa kabisa ili Instagram ifulike likes na views.

Ole angekuwa si mwanasiasa,angekuwa anongelea ni kwa namna gani rashford kaimarika kiuchezaji (sio kiuchumi) ili tuweze kukubaliana naye kuwa hana haja ya lukaku au striker mwingine. Au ingizo la mason linaweza kuwa sababu ya yote haya huku akijificha kwenye kivuli cha sanchezi atarudi kama namba 9 machachari.
 
Vibaya mno mdau atafunga sana kwa header huyo
 
Hawa ndo Arsenal tunaowacheka kila siku.

Zile front 3 za Liverpool na Man City hatujawaweka.

Haya sasa, angalia front 3 yetu.

Hapo ndo utajua nani yupo serious...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…