Kitu kama kilishanunuliwa ni mali ya huyo aliekinunua kwa maana ya kwamba huwezi mpangia atachoamua
Makosa ilikuwa kuwauzia timu hao Glazers family, bora hata wangeuziwa wachina au matajiri wowote kutoka Asia
Woodward hana mpango wa kusajili tena.Why?
Kuondoka Sporting hakumaanishi anaenda Man united.Kuna source za kuaminika zinafika Hadi 6 zinasema Bruno anakuja, Jana jamaa ameonekana akilia mechi ya mwisho ya sporting, ishara kwamba Anaondoka.
Mara paap anaenda Liverpool
Tangu Phil Jones afunge goli mechi ya Leeds united hata habari za HM kwenda united zilipotea magazetini.Tatizo sio muda uliobaki, ni uzembe wa Woodward
Kwangu Mimi mchezaji yoyote kusajiliwa na Man united kwa muda uliobaki ni habari ya kushangaza.
Hao wote wanaotajwa tajwa anaweza asisajiliwe hata mmoja akaokotwa poyoyo mmoja wa kingereza kutoka huko championship ( siku hizi wanaitwa youngsters).
Woodward, kroenke, Mike Ashley hawa wamarekani ni kansa katika soka wakiendelea kuwepo ndani ya Uingereza mashabiki tuendelee kulia tu
Wasiwasi wako tu huyo jamaa deal lake mmeshalimaliza.Kuondoka Sporting hakumaanishi anaenda Man united.
Mimi nitaamini nikiona Man u wanatoa taarifa.Wasiwasi wako tu huyo jamaa deal lake mmeshalimaliza.
Hao express Hata tier 10 hawamo ni Kama mwanaspoti tu, Bruno Jana Alikuwa anaecheza na sporting hivyo mtu mmoja hawezi kujigawanya Mara 2 akawa anaecheza mechi huku anafanyiwa vipimo, Kama ni kweli anakuja kufanyiwa vipimo ni siku mbili tatu zijazo na sio Jana ama Leo.
Tatizo lenu nyie mna wasiwasi sana, na hii imekuja baada ya kumuona Bruno akiongea na Klopp last week baada ya game ya Sporting na Liverpool kuisha.Hao express Hata tier 10 hawamo ni Kama mwanaspoti tu, Bruno Jana Alikuwa anaecheza na sporting hivyo mtu mmoja hawezi kujigawanya Mara 2 akawa anaecheza mechi huku anafanyiwa vipimo, Kama ni kweli anakuja kufanyiwa vipimo ni siku mbili tatu zijazo na sio Jana ama Leo.
Mkuu Club ni ya Glazzers, ni wamiliki halali wa Man u.Kwanini wanachomoa kuuza club kwani ni yao kumamazao hao si waliikuta watuachie klabu yetu bana maana si kwa mateso haya tunayopatA....
Big up sana mkuu man u ingekuwa chini ya Mwarabu hawa kina jones, young, lingard, smalling wangekuwa championship ambapo ndo level yao
Tatizo lenu nyie mna wasiwasi sana, na hii imekuja baada ya kumuona Bruno akiongea na Klopp last week baada ya game ya Sporting na Liverpool kuisha.
Mkuu usichanganye Timu za wanachama Kama Simba, yanga, Barcelona, Madrid Etc na timu zinazojiendesha Kama kampuni zenye hisa na wamiliki Kama Man UTd.Kujaza wazawa wa Kiingereza Glazers usiwalaumu
Wazawa wa kiingereza wanajazwa kwenye hizi timu na Uongozi wa kuchaguliwa katika Clubs zenyewe
Marais/wenyeviti wa vilabu waliochaguliwa kwa kura za mashabiki ndio wapo nyuma ya hao wazawa magarasa kukingiwa kifua
Nashangaa hawa wasiotoa ata cent moja wanalalamika wakati wamiliki halali wanao sawa tuMkuu Club ni ya Glazzers, ni wamiliki halali wa Man u.
We ni mshabiki tuu.
Unless huelewi hizo hela wanazipataje mkuu mashabiki Wana haki ya kulalamikia.Nashangaa hawa wasiotoa ata cent moja wanalalamika wakati wamiliki halali wanao sawa tu
Unless huelewi hizo hela wanazipataje mkuu mashabiki Wana haki ya kulalamikia.
Unaenda kwenye Banda la Mpira unatoa 500 ama 1000 unaangalia Mpira, mwenye Banda anajichanga mwisho wa mwezi analipa DSTV. Mwenye uwezo anakua na DSTV nyumbani na mwisho wa Mwezi analipa DSTV.
Mkataba wa mwisho Supersport wameilipa ligi Uingereza ya Uingereza pound milioni 296 (almost 300M hio) kuonyesha EPL, hio ni kusini mwa jangwa la Sahara Tu, kaskazini Nchi za kiarabu na Nigeria Wana licence zao wenyewe. Hivyo unakuta Africa tu tunachangia Hata 500M kwenye ligi ya Uingereza kwa kila mkataba.
Hizo Hela zinakuja zinagawanywa kwenye timu, Msimu wa juzi man U walipata 36M Kama sijakosea Toka Nchi zetu za mbali.
Hivyo ndio Mtanzania wa kawaida anavyozichangia Timu za Uingereza.
Bado Kuna watanzania wengine wananunua magari ya Chevrolet, wananunua jezi za Adidas, na Commerical nyengine ambazo zinaingiza Hela kwa man U pia.
Sisi mashabiki ndio tunaingizia club hela hivyo Wana haki ya kusikiliza na kuwafurahisha mashabiki.