Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,924
- 27,163
Umeshaongea mnoo halafu unasema huongei!Kwa timu yako hiyo ,subiri tuone ,mimi.siongei sana
Kumuuza lukaku, utakuwa upuuzi wa karne. Huyo dybala italia tu kumemshinda, EPL ataiweza kweli.
Ilikuwa lazima arud kwa mkopo ,ni mashart ya wenye mchezaji wao
Mimi naamini Di Marzio hakurupukagi. Akiripoti habari kuhusu Man U basi naamini ni kweli kitatokeaKitu Cha ajabu even tier 1 Kama De jogo na Marzio wame report transfer za BF na SMS lakini wapi haji mtu.
9 anayeandaliwa,anayependwa na kukuzwa libichwa ni rashford. Na tegemea hiyo ndiyo 9 yako ya kuitegemea na kuibeba timuNadhani namba 9 atarudishwa martial. Lukaku mpira wa man u umemkataa kabisa yaani. Ole anataka kuleta mfumo wa speed kubwa... na lukaku ni mzito.. nahis ni moja ya sababu za kumuachia
Kiukweli lukaku tunamuhitaji kwa sababu ya aina tu ya wachezaji waliopo kwenye kikosi yeye ana afadhali ila na yeye hastahili kuwepo kwenye timuAkiwa everton yes. but huyu wa man u ni kama kajisahau au mfumo umemkataa.
Nikqambie lukaku akiwa everton alikuwa ni lethal striker.. he was so good kuliko martial.
But alipokuja man u akasahau kucheza mpira.. kanenepeana..
Martial ana skills. Anacholuck ni attitude. Ila akiwa na atittude nzuri. Martial ni lethal kuliko lukaku
Kivip ,kwa arsenal ndio imemrudisha ? 18yrs kwa β¬30m unachukulia kawaida ?au uwezo mdogo bado hajakomaa
Di marzio yupo smart, kifupi reporter wote wa sky sport wapo smart, wana communicate direct na mawakala,wachezaji na watu wakaribu wa wachezajiMimi naamini Di Marzio hakurupukagi. Akiripoti habari kuhusu Man U basi naamini ni kweli kitatokea
Ni CB ambaye amefanya vzr ,na wenye mchezaji wao waliweka mashart anayemtaka lazima amrudishe kwa mkopo, hutaki unaacha , maana msimu ujao watampiga bei kubwa β¬50-60m, kwasasa tumeambiwa tutoe β¬30m tu na abaki ,why usikubali mashart hayo? Maana ilishatokea kwa mbappe tukagoma, msimu unaofata bei yake ikawa Β£160m, pia kwa pepe awali ilikuwa Β£40m , Tukapuuzia ,Leo tunauziwa kwa Β£72m.au uwezo mdogo bado hajakomaa
Kwani sisi ndio tuna beki ??Hawana beki Halafu wakasajili beki na kumrudisha kwa mkopo
Lukaku is better striker than Martial statistics never lie ,kwa misimu 4 iliyopita Lukaku amefunga magoli 93 Martial amefunga magoli 48 timu ya taifa Lukaku amefunga magoli 48 Martial kafunga goli 1Akiwa everton yes. but huyu wa man u ni kama kajisahau au mfumo umemkataa.
Nikqambie lukaku akiwa everton alikuwa ni lethal striker.. he was so good kuliko martial.
But alipokuja man u akasahau kucheza mpira.. kanenepeana..
Martial ana skills. Anacholuck ni attitude. Ila akiwa na atittude nzuri. Martial ni lethal kuliko lukaku
"Numbers don't lie"..Lukaku is better striker than Martial statistics never lie ,kwa misimu 4 iliyopita Lukaku amefunga magoli 93 Martial amefunga magoli 48 timu ya taifa Lukaku amefunga magoli 48 Martial kafunga goli 1
martial anakosa attitutude, attitude, attitudeAkiwa everton yes. but huyu wa man u ni kama kajisahau au mfumo umemkataa.
Nikqambie lukaku akiwa everton alikuwa ni lethal striker.. he was so good kuliko martial.
But alipokuja man u akasahau kucheza mpira.. kanenepeana..
Martial ana skills. Anacholuck ni attitude. Ila akiwa na atittude nzuri. Martial ni lethal kuliko lukaku
Watu wanakuambia eti Martial ni lethal kumshinda Lukakumartial anakosa attitutude, attitude, attitude
huu wimbo umeshatolewa remix mara ngapi?
style ya uchezaji ya antony martial ndio ile ile na haitobadilika hata kama atakuja diego simeone.
ndio maana makocha wanaojielewa wanamweka benchi kuanzia timu ya taifa hadi man united
skills bila ya bidii ni sawa sawa na mwanamke mwenye umbile zuri aliyekosa maarifa
Zimebaki siku Kama 10 tu soon ukweli utajulikana.Mimi naamini Di Marzio hakurupukagi. Akiripoti habari kuhusu Man U basi naamini ni kweli kitatokea
hawa watu wawili waliovaa suti pichani natamani yule malaika mtoa roho azichukue nafsi zao muda wowote kuanzia sasaZimebaki siku Kama 10 tu soon ukweli utajulikana.
Kwa mahesabu ya haraka haraka Toka redio kijiwenihawa watu wawili waliovaa suti pichani natamani yule malaika mtoa roho azichukue nafsi zao muda wowote kuanzia sasa
Matt Judge is the club's de facto chief negotiator and Ed Woodward's trusted right-hand man.
siku 10 real madrid wana uwezo wa kuwasajili wachezaji watatu kutoka timu kubwa sijui kama kiupande wetu sisi inawezekana
View attachment 1165288
hii redio kijiweni inapaswa ipigwe mawe mpaka yule mtoaji repoti ndani ya spika akimbie.Kwa mahesabu ya haraka haraka Toka redio kijiweni
Pogba 150+ Lukaku 70 + 100m ya usajili ni 320m
AWB 50, James 15, Maguire 70, bf 70 sms 65,
Kuna Kama 50M hivi wataibakisha kumfurahisha Glazzer.
Nimeiona mkuu, sisi Kuna tetesi Old Trafford kukarabatiwa Toka kipindi Cha Fergie Hadi leo hatujaanza huo ukarabati.hii redio kijiweni inapaswa ipigwe mawe mpaka yule mtoaji repoti ndani ya spika akimbie.
hiyo pesa ya sms ni bora nusu yake niwape atletico madrid kwa ajili ya mwenda wazimu diego costaππ.
halafu kilichobakia niwape leicester city kwa ajili ya wilfred ndidi.
then hela ya mauzo ya lukaku apewe yule mjinga aliyekopa fedha benki kwa jina la manchester united apate kulipa deni lake.ππ
mkuu umeoiona project ya everton?