Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahaha asa ujinga gani mkuu, unadhani kufanya vizuri pre season ndo itakuwa ivyo kweny post season? Ninyi tunajua huwa mnaanza vizuri mutashinda mechi kama saba au nane ivi halafu baada ya hapo ni vipigo..
Sasa mkuu chelsea ambayo straiker wake ni Tommy Abraham nayo itatusumbua kweli??

Uko busy sana kupambana na timu za watu kuliko unavyoizungumzia timu yako kwenye uzi wenu ule
 
Acha kuongea ushuzi, emery kaongea wapi,

Timu yako msimu huu ukweli unaujua ni mbovu, hazard aliyekuwa anawasaidia kasepa, straiker girud, nasubiri tu msimu huu utakuwa unajipiga ban ya mwaka mzima, maana atakayeshindwa kuchukua point 6 kwako atakuwa mbovu kupindukia
 
Sasa mkuu chelsea ambayo straiker wake ni Tommy Abraham nayo itatusumbua kweli??

Uko busy sana kupambana na timu za watu kuliko unavyoizungumzia timu yako kwenye uzi wenu ule
Mimi nabet kabisa huu msimu watapata tabu sana, nimeshaandaa kabisa kifurushi cha mwaka kwa ajiri kukesha jukwaa lao ,maana ana kelele sana anasahau hazard aliyekuwa anawaokoa hayupo, straiker jirud na abrahamu, winger zao ni deadwood ,

Kiuhalisia kwa top 6 atakayeshindwa kubeba point 6 kwa Chelsea itabidi ajitafakari amekosea wapi
 
Ivi ile mechi na aseno rashford anapiga mbili alikua na miaka mingapi??kocha lvg
 
Huyu Jamaa yuko underrated sana... Ila naona kuna team zimeshaona uwezo wake ..View attachment 1163980
Ni nyie mashabik tu,mm huwa nawashangaa mnaomponda huyu jamaa, wenye jicho la 3 wanaelewa umuhimu wake,kama unata kuamini ,aondoke halafu mbak na martial lingard na rashford muone mtakavyokuwa baadh ya mech hampat hata goli
 
Leo kala 7-3

Hii timu sio uwezo wa zidane, hii timu ilikuwa inabebwa na uwezo binafsi wa CR7
 
Huyu Jamaa yuko underrated sana... Ila naona kuna team zimeshaona uwezo wake ..View attachment 1163980
Huyu jamaa ni namba tisa wa uhakika, duniani hawa bidhaa kwa sasa ni adhimu. Unaweza ona Madrid hamwachii Benzema ingawaje hana makeke sana kwenye macho yetu, Brazil wameng'ang'ana na Firmino ingawaje so kivile national team kwenye macho yetu.

Lukaku ni zaidi ya Rash, Lingard combined
 
Ila bhana aisee, Atletico ile timu wanakimbiza hatari, inabidi wapimwe, wana energy na stamina si ya kitoto
Madrid wamesajir ovyo kuliko wenzao Atletico , maana yule Mendy amekuja kum replace Marcelo ,lakin cha ajabu inatakiwa apiganie namba kwa marcelo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…