RvP ni mchezaji mzuri kwa aina yake ya uchezaji -mmaliziaji. Lakini Wazza ni mzuri zaidi ya RvP kutokana na kuwa na attributes nyingi za mshambuliaji - ana nguvu,ari ya uchezaji,anatumia miguu yote na mpambanaji.
Lakini pengine katika mipango ya SAF kwa leo,RvP amefit kuliko Wazza.