Wenyewe hamjambojambo humu? Vipi yule VP ataanza kulipa leo au ataendelea kudoda? Nasikia SAF kishaweka mkwara wa nguvu kwamba kama haridhiki na uchezaji wake basi VP atacheza kwa benchi.
Unawajua Magpies wewe??? Ni Newcastle kama sikosei siyo hao waliowavuruga jana, poleni sana.
Hahah...una uchokozi wewe..leo wanaenda kufungwa na nani kwani??!
Tatizo sio winga tatizo ni defensive midfielder angalia timu ikishambuliwa ,Fellaini alikuwa anacheza free hana mtu anayemkaba Scholes alipata yellow kadi mapema sana so akawa anacheza kwa uangalifu.Carick,Anderson,Cleverley,Scholes wote sio wazuri kucheza defensive midfilder,Fletcher ndio anaweza kucheza hiyo nafasi lakini majeruhi.Kwenye game ya Everton nimegundua uchezaji wa MANU umebadilika kule mbele baada ya kuja RVP na Kagawa timu haitumii sana mipira ya pembeni,inaonekana mfumo bado hawajauzoea
Watani zangu hawa lol! wanakipiga na Fulham baadaye leo...Na wale Fulham wanatisha...wiki iliyopita walimchapa mtu 5-0 lakini mara nyingi mcheza kwao hutuzwa
Carrick ni defensive midfielder bt alicheza centre back juzi.. Yeye na scholes wangekua kati ingesaidia afu kagawa acheze mbele yao young kulia rooney kushoto RVP kati hapo formation ni 4-2-3-1
Unamaanisha mcheza kwao hutuzwa PENATI . Maana Ashley Young = Dive = Penalty Kick awarded.
Huwa MANU hawajirushi banaa bali huchezewa rafu 🙂....Enjoy the game
Kamuanzisha RvP anacheza mbele ya Rooney....Ngoja tuone itagua vipi hapa....
Hahahahahahaaaaaaa.......Haya bana,,,, Cha kwanza tayariiii
... SAF anataka kuanza kuona pesa yake inalipa haraka sana...hii game itakuwa bomba sana kama Fulham nao wataamua kushambulia maana MANU watakuwa kama nyuki leo.
So far NZI tu kaka,,,, Bubu vp???