Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Haya pia ni maajabu mtu hujaAngalia game ila unamponda Pogba .. Bongo nyoso..
 
Haya pia ni maajabu mtu hujaAngalia game ila unamponda Pogba .. Bongo nyoso..
 
Dj na AWB wameperform vizur sn mkuu..
 
Paulo Pobga akibaki manure ntamdharau sana, kwa kiwango chake sio mchezaji wa kucheza Europa aise..akomae kama Antonio Gree asepe zake..
 
tukiwapata maguire na bruno wanatosha sana mbele tunatalent za madogo kina grenwood tuwaamini tu wakisaidiana na kina rashford tutatoboa tu
 
tukiwapata maguire na bruno wanatosha sana mbele tunatalent za madogo kina grenwood tuwaamini tu wakisaidiana na kina rashford tutatoboa tu
Hahaha EPL siyo league ya kutegemea watoto. Tunahitaji wanaume watatu au wanne hivi kuimarisha team.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…