Ni right footed mkuu, lakini yupo comfortable na mguu wa kushotoRight footed au mashoto? Hahahahah
Siku hizi watu wa mguu wa kulia wanaona poa tu kupiga 7
Ni right footed mkuu, lakini yupo comfortable na mguu wa kushoto
Nimeona akipiga krosi vizuri tu kwa mguu wa kushoto
Sometime ku flop ni kudura tu za Mwenyezi MunguHahahahah
Hongereni mkuu Kwa kupata hiki kifaa kipya ila chondechonde asijekuflop kama kina Depay
Sometime ku flop ni kudura tu za Mwenyezi Mungu
Ila uwezo anao mkuu
Mkuu hivi huyu dogo tunaweza kumwamini aingie direct kwenye first eleven??..Sometime ku flop ni kudura tu za Mwenyezi Mungu
Ila uwezo anao mkuu
Sawa, weka mkuuNgoja tuone
Naweka akiba ya maneno
Kuna tetesi au ni ndoto zako tu? Ila man u hawako serious Rabiot yupoyupo tu lakini sidhani kama kuna mapambano yoyote ya kumpataMy midfield trio dream
Rabiot - Rodri- Pogba
Mpaka sasa namba 7 haina mwenyewe mkuuMkuu hivi huyu dogo tunaweza kumwamini aingie direct kwenye first eleven??..
Mpaka sasa namba 7 haina mwenyewe mkuu
Lingard, Mata, Sanchez, Rashford (ambaye naona atacheza zaidi kati) wote hawana uwezo kucheza vizuri namba 7 kama DJ
Martial ni 11, japo dogo kushoto pia DJ ni mtamu
Kwangu naona dogo ana uwezo makubwa, changamoto ni ku cope kucheza United, akitokea championship akikiweza hilo anaweza kuwa zaidi ya Bale (after all Bale sijawahi kumkubali)
I got you bro..Mpaka sasa namba 7 haina mwenyewe mkuu
Lingard, Mata, Sanchez, Rashford (ambaye naona atacheza zaidi kati) wote hawana uwezo kucheza vizuri namba 7 kama DJ
Martial ni 11, japo dogo kushoto pia DJ ni mtamu
Kwangu naona dogo ana uwezo makubwa, changamoto ni ku cope kucheza United, akitokea championship akikiweza hilo anaweza kuwa zaidi ya Bale (after all Bale sijawahi kumkubali)
Nimeicopy sehemu fulaniWith all these rumours..to be fair Aron Bissaka si wa milioni 40 achilia mbali zaidi ya hapo...he is too overrated..ukabaji wake ni wa kujirusha mzima mzima dakika za mwisho hafu hajui kucross kama Young tu...ila huyu mbadala wanayemzumngumxia Max Aarons wa Norqich..he is too way better than AWB...na anaweza patikana kwa bei ndogo..though shida ninayoiona ..ni kwamba hana tofauti sana na Diogo Dalot...though anapiga cross tamu na kudribble..kwenye defence ni wa kawaida
Waingereza wakikuletea stats za Smalling utaahirisha kusajili bekiNimeicopy sehemu fulani
Epl msimu uliopita
Most clearances:
• Wan-Bissaka (129)
Most tackles won:
• Wan-Bissaka (129)
Highest tackle success rate:
• Wan-Bissaka (94%)
Most take-ons completed:
• Wan-Bissaka (90)
Most interceptions:
• Wan-Bissaka (84)
Nimeicopy sehemu fulani
Epl msimu uliopita
Most clearances:
• Wan-Bissaka (129)
Most tackles won:
• Wan-Bissaka (129)
Highest tackle success rate:
• Wan-Bissaka (94%)
Most take-ons completed:
• Wan-Bissaka (90)
Most interceptions:
• Wan-Bissaka (84)
Dogo ana stats nzuri sana defensivelyNimeicopy sehemu fulani
Epl msimu uliopita
Most clearances:
• Wan-Bissaka (129)
Most tackles won:
• Wan-Bissaka (129)
Highest tackle success rate:
• Wan-Bissaka (94%)
Most take-ons completed:
• Wan-Bissaka (90)
Most interceptions:
• Wan-Bissaka (84)
Ameshasema amejiunga the biggest club in the world, kwa hiyo mkuu tuliaDuuh
Kama huyu dogo ni shabiki wa Darajani hivi hatakuja kupiga unafiki fulani in favour of his beloved Chelsea ?
Hahahahah
Hii ni roho mbaya ya black human , unaanza kufafanua magoli yalifungwaje na takwimu zake za national team .. At his age ni Top scorer at national team ...Katupia 2 ndio ila hakuna lolote...moja la rebounding....tena kashtukiza tyr ndani....hujaona ile pas aliyopewa na kevin na ilikua ya kufunga matokeo yake kakosa..badala ya kufunga kaleta ujuaji, kajichanganya na mpira ukarudi.....lukaku hakuna kitu..shida statistics za N.team zikiletwa kwenye club na hatuzion zikitokea, walakin lazima uwepo...bolingoli lukaku ni kisu kibutu
Stats alilizoweka hapo ni kwa defenders tuHapa brother umepigwa changa live...
Wan-Bissaka haongozi kwa stats yoyote kwa msimu uliomalizika!
View attachment 1126029
View attachment 1126030