Source pleaseBruno fernandes to man united is done....
uvumi wa jana ndio huu hapa:Bruno fernandes to man united is done....
Fergie amechukua uefa 2, chelsea mna ngapi?.. arsenal je?.. Bado alibebwa na huko?Wale marefa walikuwa fans wa mzee Fargie wamestaafu mkuu.
(Reuters)Source please
Toka amemwamini kafanikiwa nn?Mbona Gareth Southgate bado anamwamini Lingard ?
After all Man united kwa sasa kumlaumu individual player tunakosea timu nzima iko katika hali mbaya too disorganized lakini majeraha ya Mara kwa Mara
Kuwa serious bac Kwa kudab au?Lakini ndiyo huyo huyo ndiye aliyeifikisha uingereza semi final ya world cup
Leo imesemekana baada ya fainali, ataelekea kufanya medical check-up pale carruvumi wa jana ndio huu hapa:
Bruno Fernandes to Man Utd transfer could be off - because of Ed Woodward
According to Portuguese outlet, O Jogo Woodward is 'hesitant' about the deal and is wary of spending yet another large sum of money on a player who has not yet tested himself at the very highest level.
Tottenham leading Bruno Fernandes race ‘but a move from Liverpool can change everything’
ngoja tuone ndio tunavyo ombeaLeo imesemekana baada ya fainali, ataelekea kufanya medical check-up pale carr
Hilo kombe halina tofauti yoyote na kombe la COSAFA cupKhaa!! Wakuu Ronaldo na hili kombe!! Kombe la 2, bado yuro tena!!!
Unamzungumzia Lingard gan? Maana Lingard ninayemjua mm tangu enzi za Van gaal alikuwa anapata Namba kwa 7bu anajua kukabia juu na muda wote anawapa presha mabek na kuwapelekea kupoteza mipira,Lingard ana mchango gani sasa? Welbeck anauwezo wa kukabia mbele kabisa sasa lingard anafanya nini zaidi ya kukimbiakimbia tu nguv hana akila hana contro poor
Unamzungumzia Lingard gan? Maana Lingard ninayemjua mm tangu enzi za Van gaal alikuwa anapata Namba kwa 7bu anajua kukabia juu na muda wote anawapa presha mabek na kuwapelekea kupoteza mipira,
Angelikosa mngesema kakosa hadi COSAFA CUP?...Hilo kombe halina tofauti yoyote na kombe la COSAFA cup
Maneno machache lakini yameshiba,please register my appreciationTatizo, la hao Mediocre players, ni kubwa sana.
Wapo wengi ( young, jones,darmian, lingard nk)
Wachezaji tunaonunua kuja kuingia first team (kuimprove kikosi), wengi wao kama sio wote WANASHUKA VIWANGO VYAO tofauti na walikotoka.
Unanunua mchezaji kama mikitariyan, unamlipa mfano pauni 100,000p/w. Backup yake ni lingard unayemlipa mfano pauni 75,000p/w. MIKI anacheza miezi sita ,baada ya hapo anaflop, matokeo yake unamuanzisha lingard,.
Mojakwa moja hapo utakae anza kumuondoa ni MIKI unayemlipa pesa nyingi. Huwezi ukamuondoa lingard then ubaki na flop.
Hii iko hivyohivyo hata kwa positions nyingine, Young, jones , Smalling ,wapo mpka leo sababu Rojo, bailly na Darmian wameshishwa kuderiver kama tulivyotarajia.
Ninachojiuliza mpka sasa ni kwa nini wachezaji tulionunua kwa kipindi hiki cha miaka 5 , toka SAF ameondoka, wengi wanaishia kuwa flops?
uefa hawana kombe dogo sio CAF hao wanajua wanachofanya, wameliweka makusudi kupunguza miaka 4 ya EuroHilo kombe halina tofauti yoyote na kombe la COSAFA cup
Nashangaa, kati ya wachezaji tunao ambiwa wanaachwa, hakuna Muingereza hata mmoja!
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Km naelewa hapa. Hata mimi hiyo worry ninayo.uvumi wa jana ndio huu hapa:
Bruno Fernandes to Man Utd transfer could be off - because of Ed Woodward
According to Portuguese outlet, O Jogo Woodward is 'hesitant' about the deal and is wary of spending yet another large sum of money on a player who has not yet tested himself at the very highest level.
Tottenham leading Bruno Fernandes race ‘but a move from Liverpool can change everything’