Niliwahi kuongea humu kwa nia safi kuwa huyu Lingard hana kipaji kabisa na hana hadhi ya kucheza United Club ambayo ndio kubwa na yenye historia ndefu zaidi pale Uingereza
lukesam akasema nabwabwaja sana na wengineo wakionesha kutofurahishwa na mimi kusema huyu dogo hastahili kuwepo pale Old Traford
Sasa tutafanyaje sasa sisi mashabiki kama maboss bado wanampa mkataba ?
Kama sikosei Man Utd amechukua UCL kabla ya Barca sasa pale Barca watu wenye uwezo kama wa Lingard hawawezi kuendekezwa hata siku moja hata kama wawe wazawa
Ishu za hovyo kama hizi ndio zimeifanya Barca kuwa Club kubwa kuliko MUFC
Mbona Gareth Southgate bado anamwamini Lingard ?
After all Man united kwa sasa kumlaumu individual player tunakosea timu nzima iko katika hali mbaya too disorganized lakini majeraha ya Mara kwa Mara
Mbona Gareth Southgate bado anamwamini Lingard ?
After all Man united kwa sasa kumlaumu individual player tunakosea timu nzima iko katika hali mbaya too disorganized lakini majeraha ya Mara kwa Mara
Si ndio huyo huyo ambae huwa anamuwekaga benchi Vardy halafu anamwanzisha Rashford
We unaona Rashford ni wa kumuweka benchi Jamie Vardy?!!
Sasa tutafanyaje sasa sisi mashabiki kama maboss bado wanampa mkataba ?
Unazungumzia Timu ya Taifa ya Uingereza?
Hivi huoni kuwa Timu ya England ukishaweza kupiga Danadana 3 tu basi uhakika wa Namba unao?
Sasa kwa Kikosi kama hichi ↓↓ Lingard atakosaje kuaminiwa unadhani?
View attachment 1122335
Lakini ndiyo huyo huyo ndiye aliyeifikisha uingereza semi final ya world cup
Lakini ndiyo huyo huyo ndiye aliyeifikisha uingereza semi final ya world cup
Kiongozi naona una Element ya Malafyale
Na Yeye Kule pia anajigamba kuwa Henderson kaifikisha Uengereza Nusu Fainali ya WC
Ah wapi
Mafanikio ungesema kwamba kocha huyu kila WC anafikaga Semi final
Hakuna team iliyofanya toka kombe hili limeanzishwa.
Man united fans tunataka kweli mabadiliko kwenye Squad yetu lakini hayatakiwi kuwa mabadiliko ya gambling.
Epl siyo ligi rahisi kama TPl
Niliwahi kuongea humu kwa nia safi kuwa huyu Lingard hana kipaji kabisa na hana hadhi ya kucheza United Club ambayo ndio kubwa na yenye historia ndefu zaidi pale Uingereza
lukesam akasema nabwabwaja sana na wengineo wakionesha kutofurahishwa na mimi kusema huyu dogo hastahili kuwepo pale Old Traford
Si ndio huyo huyo ambae huwa anamuwekaga benchi Vardy halafu anamwanzisha Rashford
We unaona Rashford ni wa kumuweka benchi Jamie Vardy?!!
Lingard hapati namba timu yoyote pale uingereza labda lig two kule
Hakuna team iliyofanya toka kombe hili limeanzishwa.
Man united fans tunataka kweli mabadiliko kwenye Squad yetu lakini hayatakiwi kuwa mabadiliko ya gambling.
Epl siyo ligi rahisi kama TPl
Nani kakwambia hicho ndio kikosi cha uingereza ?Unazungumzia Timu ya Taifa ya Uingereza?
Hivi huoni kuwa Timu ya England ukishaweza kupiga Danadana 3 tu basi uhakika wa Namba unao?
Sasa kwa Kikosi kama hichi ↓↓ Lingard atakosaje kuaminiwa unadhani?
View attachment 1122335