GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,381
Tatizo woodward anatafuta "yes man" ,Inashangaza sana unatafuta employee mmoja kwa miaka mitatu katika ulimwengu wa wasomi wengi na wanasoka mahili kama ulaya na usipate.
Aje hata tz tunao mafutibol director wazuri tu kina Salum madadi na kayuni na ninje
Tatizo woodward anatafuta "yes man" ,
Upuuzi mtupu na tutaendelea kupigwa na kuchakaa..Yani hadi sasa hatujasajili mchezaji hata mmoja, halafu tuaambiwa eti kuna rebuild inafanyika.
Msimu ujao tusipo maliza nafasi ya kumi ni bahati.
Usihofu hii inaonyesha ukuu Wa Man UnitedSherehe za liverpool zimehamia jukwaa la united,kazi ipo
Huyu naye anachoongea hajui. Man U tatizo ni kuuza shirts au Ed Woodward? Matatizo walopitia wenzie naye atapitia kutokana na namna timu inavyoendeshwa. Au yeye atatoa pesa mfukoni mwake asajili wachezaji wenye hadhi ya kuchezea Man U? *** Ed Woodward!
Usihofu hii inaonyesha ukuu Wa Man United
Utani tu mtani wangu,sisi hatuna watu Wa mpira tena pale tumejaza wafanya biashara watupu, na hatujui Hawa wafanya biashara watabadili lini mawazo yao. Hongereni sana, honestly mnastahili kututembelea na kutunanga manake hata sisi tungechukua huu ubingwa Mkubwa namna hii nadhani tungejazana huko kwenu, makelele na masimango yangekuwa zaidi ya haya. Doa mlilonalo ni ligi kuu sijui mnayumbia wapi.To be honest, Mkuu mawazo kama haya ndiyo yanayowafanya Viongozi na Wamiliki wa Timu wasifanye mageuzi kwa kuamini kuwa hata wasisajili bado Status yao ni Kubwa.
Mwenzenu Real Madrid regardless his status ndiyokwanza Anakichafua huko Sokoni.
Utani tu mtani wangu,sisi hatuna watu Wa mpira tena pale tumejaza wafanya biashara watupu, na hatujui Hawa wafanya biashara watabadili lini mawazo yao. Hongereni sana, honestly mnastahili kututembelea na kutunanga manake hata sisi tungechukua huu ubingwa Mkubwa namna hii nadhani tungejazana huko kwenu, makelele na masimango yangekuwa zaidi ya haya. Doa mlilonalo ni ligi kuu sijui mnayumbia wapi.
Kuna Muarabu nasikia anaitaka Newcastle ainunue na kufanya kuwe na Top 7 kwa kusajili Majina Makubwa kwa gharama yoyote ile
Naona mawazo kama yetu yanaendelea kwenye majukwaa mengine ya nje kuhusu man utd kusuasua kusajili hadi sasa. Wanakosoa taarifa mbalimbali zinazotolewa na club lakini suala la usajili ni kama wamekwama sehemu halafu hawaonekani kulisemea nini kinaendelea wakilinganishwa na wenzao real madrid.
Naona mawazo kama yetu yanaendelea kwenye majukwaa mengine ya nje kuhusu man utd kusuasua kusajili hadi sasa. Wanakosoa taarifa mbalimbali zinazotolewa na club lakini suala la usajili ni kama wamekwama sehemu halafu hawaonekani kulisemea nini kinaendelea wakilinganishwa na wenzao real madrid.
Ameshainunua kutoka kwa Mike Ashley na anatoka kwenye familia ya sheikh Mansoor Wa man cityKuna Muarabu nasikia anaitaka Newcastle ainunue na kufanya kuwe na Top 7 kwa kusajili Majina Makubwa kwa gharama yoyote ile
Degea anasaini mikataba kwa masharti magumu magumu, kwamba apangwe yeye mechi zote za ligi isipokuwa ktk mazingira maalum. Ameflop sana na yupo behind UNTD failure this term., naona akikaza wamwache aondoke. Pogba na Lukaku licha ya mapungufu yao kuwaachia kizembe itakuwa blanda ya kipekee kuwahi kutokeaHerrera huyooo kapepea, Pogba naye soon tu hayupo, Degea kagoma kuongeza mkataba hahahaha ..Lukaku ndo uyo mzigo wa kunimtabaki na nani sasa? Phil Jones, Smalling,? Mchukueni Samatta chap acheni ushamba...
Kwahiyo flop ya Hao wachezaji ni Ed Woodward??Historia ya talented players ya hivi karibuni pale united inatia mashaka ndiyo maana kila mchezaji anamgomea Woodward au anaomba mpunga mrefu sana.
Dimaria
Falcao
Mikhtarian
Sanchez
Depay
Darmian
Shinenderlin
Fred
Lukaku
Martial
Zaha
Hawa wote waliflop sasa mchezaji anayetaka kuja hapo lazima aangalie future yake itakuwaje
Kimsingi Woodward ana gundu