D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
upo sahihi na hiyo hali wengine tumeshaizowea kwa muda mrefu.Uvumi mwingi magazetini kuihusu man united si wa kweli unatengenezwa kukuza soko la wachezaji tu.
upo sahihi na hiyo hali wengine tumeshaizowea kwa muda mrefu.
umemuonaje huyu kijana?
ok hatuna uwezo wa kumn'goa eriksen basi mpaka huyu atushinde kama tunamuhitaji kweli.
overhaul ya waingereza wengi itatuangusha na mapema sana kabla ya ligi haijaanza.
tusije tukafanya mchezo huo.
Bora yy kuliko smallingAnakuja kustaafia united!
Hadhi yetu inashuka sana
Manchester United jet in top scout Marcel Bout to watch TWO transfer targets in same gamewachezaji hawanunuliwi kama vocha it's all about process, hakuna msimu umepita bila United kusajili just relax
stay tuned
basi subiri waende dukani wakanunue muda ukifikaManchester United jet in top scout Marcel Bout to watch TWO transfer targets in same game
jet jet watch ndio process
Nenda tu Newcastle tuachie timu yetu hatutaki mashabiki vigeugeu
nimemuona dyabala, suso na eric lamela wa zamani kwa wakati mmoja humu ndani.
hivi ndio vipaji vya kutuma paundi millioni 60 na si wilfred zaha.
hivi ndio vipaji vinavyopaswa viwepo klabuni na sio lingard haijalishi watakuwa wachezaji wa hakiba.
hivi ndio vipaji vinavyopaswa kutishia kuondoka endapo hawataongezewa mshahara na si rashford.
nimesikia tottenham hotspurs wametuma offer ya paundi millioni 45 kwa huyu kijana kutoka real betis.
anahitaji mazoezi ya kuimarisha mwili zaidi ili aendane na vishindo vya uingereza wazee wa mbavu kwa mbavu.
kazi kwetu, nimeshaanza kutafuta kadi ya newcastle united.
huyu atakuwa ni mchezaji wa 90 kuvumishiwa anatakiwa man utd.
tetesi FC oyeee
Ile mechi na Everton iliniuma sana pale ndipo tulipopoteaView attachment 1111065
Hapa vitimu viwili vilivyodinda kufungwa .vilishinda na vimeshuka daraja. Tulikuwa tuvune point sita, 66+6=72#71 ukikachukua katimu kengine tungekapiga +3point jumla kuu 75 points, tungekuwa nafasi ya tatu.
Wachezaji waliotukost ni mabeki na golie
Anataka kwenda China bhanaNaskia Ramos Kaomba kuondoka Madrid anataka kuja UTD.
Kuona utd ikichukua flop Ferguson era. Kwa legend huyu hawezi. Labda ampe mwaka tuuuuu.Anataka kwenda China bhana
Tukifanya masihara na Newcastle ikanunuliwa na mabwenyenye wa kiarabu basi hata Europa League itaanza kuwa ngumu
nimemuona dyabala, suso na eric lamela wa zamani kwa wakati mmoja humu ndani.
hivi ndio vipaji vya kutuma paundi millioni 60 na si wilfred zaha.
hivi ndio vipaji vinavyopaswa viwepo klabuni na sio lingard haijalishi watakuwa wachezaji wa hakiba.
hivi ndio vipaji vinavyopaswa kutishia kuondoka endapo hawataongezewa mshahara na si rashford.
nimesikia tottenham hotspurs wametuma offer ya paundi millioni 45 kwa huyu kijana kutoka real betis.
anahitaji mazoezi ya kuimarisha mwili zaidi ili aendane na vishindo vya uingereza wazee wa mbavu kwa mbavu.
kazi kwetu, nimeshaanza kutafuta kadi ya newcastle united.
huyu atakuwa ni mchezaji wa 90 kuvumishiwa anatakiwa man utd.
tetesi FC oyeee
hii ndio taaarifa ya leo nilioiona saa moja lililopitaTukifanya masihara na Newcastle ikanunuliwa na mabwenyenye wa kiarabu basi hata Europa League itaanza kuwa ngumu
Niliangalia clip zake Jana ni mchezaji mzuri sana hasa akipewa free role na mfumo wa uchezaji ukiwa wa kuposses na kushambulia
James ni mchezaji wa kawaida sema ana mbio kuliko swalaNa james je
Basi tumsajili BeckhamJames ni mchezaji wa kawaida sema ana mbio kuliko swala
Inasemekana OLE amemwambia Ed woodward , anataka inapoanza season ya 2020/2021, deadwoods wote wawe wameshaondokaKuna tetesi za Young kwenda DC UNITED Marekani... itakuwa poa wakianza kujiongeza
Inasemekana OLE amemwambia Ed woodward , anataka inapoanza season ya 2020/2021, deadwoods wote wawe wameshaondokaKuna tetesi za Young kwenda DC UNITED Marekani... itakuwa poa wakianza kujiongeza