Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Zamani wachezaji waliihitaji Man U kwa mapenzi na moyo wote ikapelekea wachezaji wazuri tuwapate kwa bei ya kawaida, siku hizi Man U inalazimisha wachezaji kujiunga nayo kwa kuwanunua kwa mihela mingi na mamishahara yasiyo ya kawaida. Duuu ama kweli dunia inakimbia sana
 
Team yenu haina usitawi wa jamii
 
Ila nimetembelea sky sports sioni deal ya de kujoin Manchester United hizo habari mnazitoa wapi
Sky hawanaga ukanjanja
 
Hizi ndo nafasi ambazo man utd imezisishika tokea Ed Woodward awe CEO wake

2014 - 7th
2015 - 4th
2016 - 5th
2017 - 6th
2018 - 2nd
2019 - 6th
 
Kwa mshahara huu sioni namna ambavyo man united itajengwa na wachezaji wenye kuipigania timu
Kiukweli Mkuu kama huyu dogo atakuja na atakuwa anavuta mpunga huo naamini tutakuwa tumetengeneza tatizo jingine, tutegemee wote tutakao wasajili mbeleni wademand high salaries.

Bado naamini tunahaja ya kuwa na skauti ya maana watakao tusaidia kupata wachezaji ambao ni cheap at least tunaweza kurudi tena kwenye ushindan kuliko hawa ready made ambao timu kubwa pia wanawatolea macho.
 
Mkufunzi wa zamani wa klabu ya Manchester United Sir Alex Ferguson ameshangazwa ni kwa nini klabu hiyo haitafuti ushauri wake na anaamini kwamba klabu hyo ingemsajili mkufunzi wa Tottenham manager Mauricio Pochettino badala ya Ole Gunnar Solskjaer. (Mail on Sunday)
 
Yamekuwa hayo tena
 
Tushaaanza kutafuta mchawi nani!! Hiz habar hua zinasambaaa sana kama donda ndugu...yy mwenyew ni kama tulisikia alimpigia kifua Ole awepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…