Mkuu kitendo cha kuwapa mikataba wachezaji kama Smalling, Jones na Young inaonesha wazi hamtafanya Transfer market ya maana summer hii hii timu inayomaliza msimu ndio mtakuwa nayo tena next season Transfer mtafanya lakini sio kama hii uliyosema weweKutoingia top 4 kunaweza kutunyima nafasi ya kusajili world class players ambao wao UCL ni kila kitu kwao
OGS amewahi Sema anataka wachezaji ambao motivation yao kuja United si 25% +salary
Je bila kivutio cha kushiriki UCL tunaweza kupata wachezaji wenye kiwango kikubwa pasipo kushawishiwa na mshahara mnono?
Embu tuone watu tunaweza kuwa nao kwa mujibu wa matamanio ya OGS
Defenders
Koulibally, Maguire, Mouinier, Wan Bissaka,
Midfielders
Neves, Ndidi, Madison, Partey
Kutoka Academy na Mkopo
Greenwood, Gomez, Chong, Tuanzebe, TFM, Henderson, Garner,
Nitashiriki tu lkn wenye kombe lao ndiyo watacheza maana timu ya Chelsea ni marehemu kabisa kasoro sandaHongera pia kwa kucheza UCL next season
Hapo sijamaanisha tutasajili wote mkuuMkuu kitendo cha kuwapa mikataba wachezaji kama Smalling, Jones na Young inaonesha wazi hamtafanya Transfer market ya maana summer hii hii timu inayomaliza msimu ndio mtakuwa nayo tena next season Transfer mtafanya lakini sio kama hii uliyosema wewe
Wewe ulisemaje kuhsu Chelsea?
Kama ni kweli nini? Nani?Kama ni kweli, tusubiri tumuone naye.
Hii kauli manchunian wameisikia kweliINASEMEKANA: Wakala wa Pogba watawasilisha maombi ya mchezaji wake kutaka kuondoka mwisho wa msimu huu, wakati huo huo Solskjaer amemwambia CEO kama Pogba anataka kuondoka amruhusu aende, lakini CEO amemwambia kuondoka kwa Pogba pale United timu itapoteza mvuto.
Saiz tunahitaji a proven players. Hawa upcomings wanapaswa kuja wakati kikosi kishasukwa km cha CityKama kawaida yetu tushaanza ule unanga wetu wa miaka yote. Saiv ni Messi mpya tunamnyatia. Mwisho wa siku anaenda kwingne. Inakuaga kama vile ss ni daraja la timu nyingn kupata wachezajiView attachment 1090853
Ila huyu mhuni anaweza kuwa chaguo sahihi japo Scholes anaona hakuna haha ya kuwa na Technical Director. Anaamini benchi la ufundi linatoshaRio Ferdinand 95% done deal as technical director
Kama ni kweli Rio Ferdinand kuwa DOF wa MUFC. Una swali jingine?Kama ni kweli nini? Nani?
Naona waingereza kujazana pale united.....yaleyale ya daglishRio Ferdinand 95% done deal as technical director
teh teh teh hatari sanaaaa ukimwaga mboga wenzako wanamwaga ugali
#UnfollowManUnited: Manchester United fans start movement to boycott club on Twitter
Manchester United's official Twitter account has lost nearly 10,000 followers in 16 hours because of the#UnfollowManUnited campaign.
teh teh teh# unsubscribe Manchester united thread#
teh teh teh
nyakati fulani niliwahi kumsikia bwana ed woodward akiisifia account ya manchester united pale youtube, sijui kama fans hawataigeuzia kibao wakitoka twitter
Ume summerize vizuri mkuu
That is your view. In six years now, MUFC imekuwa vururu, kimpira haina plans imo imo tu, yet, the club remained the most valuable club and became the richest in club in the world than Real Madrid despite being 3 times UCL winners, than Man city who played way much better kuliko us. Why is that? The answer is simple; Ed Woodward. Huyu akienda City leo, kesho city inapanda thamani. So far, pamoja na yote, uchumi wa Man Utd kwa miaka sita ya sintofahamu umesimama kidete. Na yote hio ni Umaarufu wa Klabu na Brand yake na has nothing to do with performance.
Ni kweli timu zinapendwa kutokana na perfomance yake uwanjani, lakini Man utd inapendwa hata ikiwa perfomance yake mbovu. tangu Ole apewe mkataba ameshinda mechi ngapi? Lakini mashabiki wanaendelea kujitokeza uwanjani despite the poor perfomance. Meanwhile, majirani zetu walioko Happy, they dont even fill their 30000 seater stadium! There is a difference between Loyal fans na Plastic fans, Manutd fans are loyal and City fans are not, just glory hunters.
Unatakiwa ujue kuwa Manutd already Built an empire na hii ndio Advantage. Ukilinganisha City na Chelsea, nitakubaliana na mtazamo wako kwa asilimia nyingi tu, but MUFC kwa MCFC, sikubaliani na wewe.
Vitu vitabadilika tu katika Klabu. na one way to do this ni kuhakikisha klabu inaanguka kimapato. Hapa tunahitaji msaada wa Medias, kuacha kufocus na MUFC. British Media zina big influence, na sasa they have to shift to City, ili City apate better deals (Za halali sio za kupindisha pindisha). Once MUFC has fallen financially, Glazers wataona wakati umefika wa kuiuza and hopefully it is sold to someone with football passion na sio business passion.
Hili Genge la kina Glazers ndio linaiumiza Klabu. They dont give a F**** with Club perfomance on the pitch, they are just checking financial sheets zinasemaje
Mambo Niteh teh teh hatari sanaaaa ukimwaga mboga wenzako wanamwaga ugali
#UnfollowManUnited: Manchester United fans start movement to boycott club on Twitter
Manchester United's official Twitter account has lost nearly 10,000 followers in 16 hours because of the#UnfollowManUnited campaign.