Mkuu company zinazoingia deals na timu siyo kuwa zinapenda mpira saaaaana, zinalenga kuwatangazia biadhaa/Huduma Mashabiki na wafuatiliaji wa mpira... Sasa Kama timu washabiki wake wamekata tamaa ya kufuatilia timu YaoUme summerize vizuri mkuu
That is your view. In six years now, MUFC imekuwa vururu, kimpira haina plans imo imo tu, yet, the club remained the most valuable club and became the richest in club in the world than Real Madrid despite being 3 times UCL winners, than Man city who played way much better kuliko us. Why is that? The answer is simple; Ed Woodward. Huyu akienda City leo, kesho city inapanda thamani. So far, pamoja na yote, uchumi wa Man Utd kwa miaka sita ya sintofahamu umesimama kidete. Na yote hio ni Umaarufu wa Klabu na Brand yake na has nothing to do with performance.
Ni kweli timu zinapendwa kutokana na perfomance yake uwanjani, lakini Man utd inapendwa hata ikiwa perfomance yake mbovu. tangu Ole apewe mkataba ameshinda mechi ngapi? Lakini mashabiki wanaendelea kujitokeza uwanjani despite the poor perfomance. Meanwhile, majirani zetu walioko Happy, they dont even fill their 30000 seater stadium! There is a difference between Loyal fans na Plastic fans, Manutd fans are loyal and City fans are not, just glory hunters.
Unatakiwa ujue kuwa Manutd already Built an empire na hii ndio Advantage. Ukilinganisha City na Chelsea, nitakubaliana na mtazamo wako kwa asilimia nyingi tu, but MUFC kwa MCFC, sikubaliani na wewe.
Vitu vitabadilika tu katika Klabu. na one way to do this ni kuhakikisha klabu inaanguka kimapato. Hapa tunahitaji msaada wa Medias, kuacha kufocus na MUFC. British Media zina big influence, na sasa they have to shift to City, ili City apate better deals (Za halali sio za kupindisha pindisha). Once MUFC has fallen financially, Glazers wataona wakati umefika wa kuiuza and hopefully it is sold to someone with football passion na sio business passion.
Hili Genge la kina Glazers ndio linaiumiza Klabu. They dont give a F**** with Club perfomance on the pitch, they are just checking financial sheets zinasemaje
Sababu ni moja au mbili.....That is your view. In six years now, MUFC imekuwa vururu, kimpira haina plans imo imo tu, yet, the club remained the most valuable club and became the richest in club in the world than Real Madrid despite being 3 times UCL winners, than Man city who played way much better kuliko us. Why is that? The answer is simple; Ed Woodward. Huyu akienda City leo, kesho city inapanda thamani. So far, pamoja na yote, uchumi wa Man Utd kwa miaka sita ya sintofahamu umesimama kidete. Na yote hio ni Umaarufu wa Klabu na Brand yake na has nothing to do with performance.
Ni kweli timu zinapendwa kutokana na perfomance yake uwanjani, lakini Man utd inapendwa hata ikiwa perfomance yake mbovu. tangu Ole apewe mkataba ameshinda mechi ngapi? Lakini mashabiki wanaendelea kujitokeza uwanjani despite the poor perfomance. Meanwhile, majirani zetu walioko Happy, they dont even fill their 30000 seater stadium! There is a difference between Loyal fans na Plastic fans, Manutd fans are loyal and City fans are not, just glory hunters.
Unatakiwa ujue kuwa Manutd already Built an empire na hii ndio Advantage. Ukilinganisha City na Chelsea, nitakubaliana na mtazamo wako kwa asilimia nyingi tu, but MUFC kwa MCFC, sikubaliani na wewe.
Vitu vitabadilika tu katika Klabu. na one way to do this ni kuhakikisha klabu inaanguka kimapato. Hapa tunahitaji msaada wa Medias, kuacha kufocus na MUFC. British Media zina big influence, na sasa they have to shift to City, ili City apate better deals (Za halali sio za kupindisha pindisha). Once MUFC has fallen financially, Glazers wataona wakati umefika wa kuiuza and hopefully it is sold to someone with football passion na sio business passion.
Hili Genge la kina Glazers ndio linaiumiza Klabu. They dont give a F**** with Club perfomance on the pitch, they are just checking financial sheets zinasemaje
3 years ago when nothing was promising on performance and yet, the club was still making more money than any in EPL.Mosi; Man u bado inatembelea deals ilizoingia zaidi ya 3years ago,Kama mambo yatobadilika uwanjani(hata dalili zisionekane).. kwenye KU renew hizo deals (mfn ya Adidas) hawakuwa na edge ya KUPATA deal nzuri...
Watu walijua kabisa kama Ferguson akiondoka timu itastruggle. Mashabiki wa Manutd wote walitambua hili kama huyu Babu alochukuwa makombe na darren fletcher uwanjani haiwezekani kuwa replaced na ndio maana mashabiki wameweza kuwa wastahmilivu. Hakuna shabiki anaejua mpira akaihama Manutd. Hao watakuwa glory hunters tu na inamaanisha kuwa siku manutd ikirudi kwenye heshima yake mashabiki wanarudi ndipo utaelewa kuwa MUFC ni empire.Pili; Mashibiki bado hawajakata tamaa, timu inapanda na kushuka (matokeo uwanjani).... Ikiendelea hivi washabiki watahama ila watakatamaa kufuatilia timu....
MUFC naona ni ambassador wa kampuni nyingi kubwa kubwa tu.Mshisho; deals inazopata Ni ishara ya kuwa ambassador wa kampuni husika, sasa kampuni pia huzinashinda kwenye kutafuta ambassador mwenye image/taswira nzuri Kama connotation ya ufaulu wa timu/ambassador ndio uzuri wa bidhaa/Huduma zao
Vp ndugu nani katupia huko???
Smart guy
Mshinde msishinde
Kwa uchezaji wa Pogba na Rashford kitu kama sio cha kushangazaTukipoteza au kutoka draw na hawa walioshuka daraja, top four kwaheri. Morali itashuka sana hata walioshuka daraja Jana Cardiff watatuchapa vizuri wiki ijayo.
mkuu bado hukati tamaa na top 4Tukipoteza au kutoka draw na hawa walioshuka daraja, top four kwaheri. Morali itashuka sana hata walioshuka daraja Jana Cardiff watatuchapa vizuri wiki ijayo.
Mkidroo ndio kwaheri ,mkuu bado hukati tamaa na top 4
Another Welback in disguiseTrashford