Nimewahi kusema hapa kuwa ma natural strikers wengi (karibu wote), De Lima, Inzagi, Raul, Kane, Aguero, Vardy, Drogba n.k huwa hawana mbwembwe za dribblingLukaku ni striker mzuri ila anapewa role ambayo sio yake.
Watu wanataka Lukaku awe ana dribble kama Hazard au Messi wakati yeye ni natural finisher kama kina Chicharito, Nesterloy, Cole n.k.
Lukaku anahitaji viungo na winger wanaomlisha mipira pande zote.
Usisahau pia Lukaku ni mfungaji bora mazoezini.
Fist touch ipi hiyo? Angalia yeye na Rashford au yeye na Martial nani anaongoza kupoteza mipira
Mkuu nimekusoma, baada ya kukumbuka kuwa Lukaku ni mfungaji bora wa muda wa belgium.Mkuu unaongelea kujenga 1st eleven kwa msimu ujao,au misimu 3 ijayo? Kama ni kwa msimu ujao, definitely Lukaku ataongoza mashambulizi.
Nitamtafutia Hazard na De Bryune (naongelea quality, sio hao watu personally) uone atakavyofunga magoli kama hana akili nzuri
Nitafanya hivyo kwa kuwa kwa pangua pangua inayohitajika pale United, Lukaku anapaswa kuwa kati ya watu wa mwisho mwisho kuondoka pale. Niliwahi kusema ma striker waliopo sokoni ambao ni upgrade ya Lukaku ni wachache sana.
Kwa maoni yangu, msimu huu United inapaswa kuwaza kumuacha Lukaku kama inaweza kumsajili, Griezeman, Kane na wachezaji wa kiwango hicho. Sio Icard, au tumtegemee Rashford na Martial.
Ndani ya miaka 3 ijayo ninaweza kumuacha Lukaku kukiwa na mbadala zaidi. Greenwood atakuwa amefika japo hata kwa sasa dogo ni bora kuliko Rashford
Ndio hivyo Mkuu, tunachohitaji pale sio kubadili sura ya strikerMkuu nimekusoma, baada ya kukumbuka kuwa Lukaku ni mfungaji bora wa muda wa belgium.
Hatimaye hawa jobless wameanza kuomba kazi huenda wataacha uchambuzi uchwara.Tungepata mtu ambaye tayari amefanya hii kazi ingekuwa nzuri zaidi View attachment 1084751
Nimewahi kusema hapa kuwa ma natural strikers wengi (karibu wote), De Lima, Inzagi, Raul, Kane, Aguero, Vardy, Drogba n.k huwa hawana mbwembwe za dribbling
Messi, CR7, Neymar, Hazard hawajawahi kuwa ma natural strikers ...... Mainly they are creators turned strikers or sometime false strikers
Nimewahi kusema hapa kuwa ma natural strikers wengi (karibu wote), De Lima, Inzagi, Raul, Kane, Aguero, Vardy, Drogba n.k huwa hawana mbwembwe za dribbling
Messi, CR7, Neymar, Hazard hawajawahi kuwa ma natural strikers ...... Mainly they are creators turned strikers or sometime false strikers
Ile kazi ya Football Director inamuhitaji MTU mwenye mawazo kama haya. Jamaa wanamtaka Ferdinand, sijui ni kupeana vyeo pale OT au nini? Kwahali iliyopo ilistahili apatikane Football Director mzoefu kutoka timu kubwa moja wapo ya Ulaya.Mkuu unaongelea kujenga 1st eleven kwa msimu ujao,au misimu 3 ijayo? Kama ni kwa msimu ujao, definitely Lukaku ataongoza mashambulizi.
Nitamtafutia Hazard na De Bryune (naongelea quality, sio hao watu personally) uone atakavyofunga magoli kama hana akili nzuri
Nitafanya hivyo kwa kuwa kwa pangua pangua inayohitajika pale United, Lukaku anapaswa kuwa kati ya watu wa mwisho mwisho kuondoka pale. Niliwahi kusema ma striker waliopo sokoni ambao ni upgrade ya Lukaku ni wachache sana.
Kwa maoni yangu, msimu huu United inapaswa kuwaza kumuacha Lukaku kama inaweza kumsajili, Griezeman, Kane na wachezaji wa kiwango hicho. Sio Icard, au tumtegemee Rashford na Martial.
Ndani ya miaka 3 ijayo ninaweza kumuacha Lukaku kukiwa na mbadala zaidi. Greenwood atakuwa amefika japo hata kwa sasa dogo ni bora kuliko Rashford
Mbona EDwin Van Desar alipata hii kazi bila uzoefu wowote ?Ile kazi ya Football Director inamuhitaji MTU mwenye mawazo kama haya. Jamaa wanamtaka Ferdinand, sijui ni kupeana vyeo pale OT au nini? Kwahali iliyopo ilistahili apatikane Football Director mzoefu kutoka timu kubwa moja wapo ya Ulaya.
Ulishawahi kumwona Van Der Sar kwenye TV analaumu makocha ??Mbona EDwin Van Desar alipata hii kazi bila uzoefu wowote ?
Ulishawahi kumwona Van Der Sar kwenye TV analaumu makocha ??
Yeye ni mmoja ya sababu ya Ajax kurudi kwenye soka la Ulaya mwaka juzi walifungwa fainali ya Uropa na mwaka huu wako nusu fainali ya Champions league licha ya kutumia budget ndogo kwenye usajili wao
Rio is not right person for that postKwa maana hiyo kuna watu wazuri pia hata kama hawana uzoefu kutoka vilabu vikubwa vya ulaya
Rio is not right person for that post
Van der sar hakupewa nafasi ya kuwa Director mkuu wa football direct..kapewa 2016..Mbona EDwin Van Desar alipata hii kazi bila uzoefu wowote ?
I agree too...Rio is not right person for that post
De Lima alikuwa anachenga yake moja tu, anapiga baiskeli ameishafika golini anafunga goli....... Hakuwa na mwembwe kama akina DinhoMkuu Muondoshe De Lima hapo
I agree too...
Na pia sioni ulazima wa sisi kuchukua mchezaji aliyekipiga OT kuwa DoF..maana kama mipango atapewa ni vipi timu inatakiwa iende yeye atasimamia utekelezaji