Mashetani mashogaMaisha yanaenda kasi sana,yan man u wamekua mdebwedo kiasi hiki,watu wanajipigia tu tena pale pale ot,mmenikera sana manyau kwa kunipotezea usingizi wangu,na msipoangalia msimu ujao mtakua level za kina burnley,yan mmetoka kuwa mashetani mpaka kuwa manyau!dah!
Hawa wachezaji wasipotolewa.. circle ile ile itaendelea. Kibur wanacheza vixur siku wakitaka. Tabia hii imeanzishwa na pogbaThese are the same players who threw Mou under the bus, they will do exactly the same to Ole. It's just a matter of time.
Ole ataanza kuhukumiwa kuanzia mwisho wa msimu. Mwache aendelee kuwachekea wachezaji.
Lingard hana tofauti na juma mahadhi wa yangaKama unamtegemea Ashley kama beki tegemeo nq Lingard kama striker wako, ushafeli hata kabla msimu ujao haujaisha.
Nyie sio middle table kanafasi kenu ka sitaCity katufunga, ila siyo kwamba hafungiki.
Ukiangalia kwenye standing kafungwa game 4, tena 2 kati ya hizo ni middle table teams.
Maisha yanaenda kasi sana,yan man u wamekua mdebwedo kiasi hiki,watu wanajipigia tu tena pale pale ot,mmenikera sana manyau kwa kunipotezea usingizi wangu,na msipoangalia msimu ujao mtakua level za kina burnley,yan mmetoka kuwa mashetani mpaka kuwa manyau!dah!
Aiseee umenivunja mbavu kichizi Mkuu kwamba Man U toka kuwa mashetani mpaka manyauMaisha yanaenda kasi sana,yan man u wamekua mdebwedo kiasi hiki,watu wanajipigia tu tena pale pale ot,mmenikera sana manyau kwa kunipotezea usingizi wangu,na msipoangalia msimu ujao mtakua level za kina burnley,yan mmetoka kuwa mashetani mpaka kuwa manyau!dah!
Lingard ni sawa naLingard hana tofauti na juma mahadhi wa yanga
Mkuu 30 years ci unakuwa sugu ..dkk tisiñi tu zinauma..Duh ....... Hii kauli inatoka kwa mtu ambaye ameyapata haya mateso miaka 30
Siongelei dakika 90, ninaongelea miaka 30
Mkuu tumrudishe Mou mapema ..Mou hafungwi Mara mbili na timu ile ile ..Mpaka sasa nadhani tutakubaliana kuwa,
Man Utd wana tatizo kubwa kuliko, tatizo la kocha
Jose was right through and through
Kapaniki!Hivi kwani ni lazima uandike matusi ?
Shame on you!
Mou aliposema timu inahitaji kusajili watu walimuona mou anazngua mbabaishaji wengne wakasema timu ina wachezaji weng sn haina haja yakusajili yy tu na mamifumo yke mabovu ndo mana timu haipati matokeo. Kocha gan anagombana tu na wachezaji wakasahau kuwa miongoni mwa watu wasiopenda unafiki ni mou kwamba ukzngua anakuchana live kuwa umezngua na mechi ijayo huchezi ss kuna wachezaj hawatak kuambiwa ukweli ndo wakawa wanagombana kila cku.Mpaka sasa nadhani tutakubaliana kuwa,
Man Utd wana tatizo kubwa kuliko, tatizo la kocha
Jose was right through and through