Man U hakuna maslahi?
Pole bhana Ile vumilia tu me nilishakwambia hii timu imeshawekwa makumbusho tayari imebaki kua timu ya kihistoria ila kutegemea eti itakupa ubingwa wa maana sahau
Unaweza kuona sasa wana philosophy mbili tofauti .D. Gill alikuwa anaangalia talent zaidi uwanjani kuliko mauzo ya jezi.
Wanataka kupata mafanikio ambapo kwenye timu zao wanaona hawawezi kuyapataMaslah yapo ila kuna ka ugonjwa kanawapata wachezaji wa EPL kukimbilia La liga na wakifika huko wachache sana wanaoendeleza kasi zao na kujutia maamuzi yao
Duuuuuuh!! Ndo tumefungwa nyingi iviiiii??? Mamaaa yanguu Manure yetu imepatwa na nini??
√Waingereza wazuri wapo wachache sana kama sterling..hawa akina Rashford,Lingard,Smalling,Jones,Young ni standard za hull city huko..
Mkuu kwakweli hujamtendea haki Shaw kwangu mimi ndo mchezaji pekee anastahili kuwa Man u huyo pogba hana attributes kabisa hajali timu imefungwa passion hamna
kiongozi wee bonge la geniusDalot! Martial! Hawa ndio wachezaji watakaomng'oa OGS Old Traford. Yaanni Martial anamuweka nje Mata! Sijisumbui kuangalia hii mechi. Ngoja nipeleke watoto beach. Pumbaf.
Madhaifu yapo mengi sana na kuyafix itachukua muda kama inavyowachukua liver pia muwe na uvumilivu haswa 😁😁😁Hahahaah hamna bana. Msimu ujao tukibadili madhaifu kadhaa mtapakimbia hapa. Timu chiiii juuuu kule chatini
Kwa jicho la tatu unaweza sema tatizo ni Ed Woodward.Unaweza kuona sasa wana philosophy mbili tofauti .
Mmoja ana jicho vipaji si majina. Mwingine anaangalia biashara zaid na majina.
Madhaifu yapo mengi sana na kuyafix itachukua muda kama inavyowachukua liver pia muwe na uvumilivu haswa 😁😁😁
Ewaaah hiyo miaka na wewe ndio inakuhusu sasaDaah aiseee kweli tumechuja kila siku mfano tunaotolewa na liver . hawa hawa wanaosaka taji la EPL kwa miaka karibu 30 duh
Wanataka kupata mafanikio ambapo kwenye timu zao wanaona hawawezi kuyapata
Ewaaah hiyo miaka na wewe ndio inakuhusu sasa
Kipi bora sasa, wabaki kwenye timu kama Man U wanapoendana napo kasi au wakapate mafanikio kwa furaha ya muda mfupi?Na tatizo wanapokimbilia wanayapata ila kwa furaha ya muda maana wanajikuta kasi yao si swa na timu husika
Tuombe uzima jamaniImpossible Man U haiwez sota miaka yote hio