Messi hajacheza premier league lakini karibu kila msimu anakutana na English club kwa miaka zaidi ya 10! Kuna kipindi walikuwa wanakutana na Arsenal mpaka tukahisi inapangwa, ikaja kukutana na Chelsea mara kadhaa etcMost goals scored vs England's top six:
Sergio Agüero - 43
Jamie Vardy - 29
Eden Hazard - 26
Lionel Messi - 24*
Harry Kane - 22
Wayne Rooney - 20
Robin van Persie - 18
*Messi has never played in the Premier League.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa angekua anakutana na timu zote kila msimu kama hao wachezaji, kwa hiyo miaka kumi uliyoisema angekua na magoli mangapi?Messi hajacheza premier league lakini karibu kila msimu anakutana na English club kwa miaka zaidi ya 10! Kuna kipindi walikuwa wanakutana na Arsenal mpaka tukahisi inapangwa, ikaja kukutana na Chelsea mara kadhaa etc
kuwa na waingereza sio tatizo maana hata Pep anao tena wanne ni regular starter na wanadeliver, kuna Jordan Sancho, Harry Kane, Pickford, Kirian Trippier and co mbona wanacheza mpira mzuri sanaDownfall begins. Nimeona hata fununu za kusajili wachezaji. Anataka kusajil wachezaji wakiingereza.
Hapo ndipo atafail. Haon pep alichofanya city
Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehehe, eti Fainali.....Naona umekuja tena na ajax.. Jmn jidfunze kuappreciate... Game plani haiwezi kuwa sawa.. Barca hatukimbii kimbii kama juve au rm.
Ajax ni academy yetu babu yetu ni mmoja Johan Cruyff..
Hopefully itakua game nzuri sana ya fainali kwa staili ya timu mbili hizo.. Mtauona mpira wenye burudani. Wakukumbukwa.
Sio kukimbizana na butubutu
Utabiri uchwara huuKuna kila dalili timu zote za England zikakutana fainali
Semifinal
- Spurs/Manchester City v Ajax
- Liverpool/Porto vs Barcelona
Sahivi umerudi Liverpool?Hehehehe, eti Fainali.....
Aliekuambia Barca atafika final ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sancho Yuko man city?kuwa na waingereza sio tatizo maana hata Pep anao tena wanne ni regular starter na wanadeliver, kuna Jordan Sancho, Harry Kane, Pickford, Kirian Trippier and co mbona wanacheza mpira mzuri sana
maana kwenye timu yetu tuna wachezaji wa mataifa tofauti mbona nao ni uozo mtupu
ishu sio uingereza ishu ni kudeliver hata Rooney, Ferdnand, Neville, Giggy, Beckham, Keane wote walikuwa waingereza
Pogba anawazaga camera tuArthur alivuruga dimba lote kama yupo peke yake hapo kati, Coutinho alicheza atakavyo na Messi alikua anachagua afungie upande upi. Pogba lipo lipo tu linatembea likinesa na kutumbua mimacho kama jizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuweke ushabiki wa Messi na Barca pembeni...
Hehehehe, eti Fainali.....
Aliekuambia Barca atafika final ni nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuweke ushabiki wa Messi na Barca pembeni...
Ukweli ni kwamba Barca wameshinda kwasababu ya madhaifu ya kikosi cha Man utd... Hawajaonyesha performance yoyote ile ya kutiiiisha!!!
Kwaiyo usitegemee akikutana labda na Liver eti atapata mteremko kama kwa Man utd...
Ingawa wamewatoa man utd, Barca wanatakiwa waimprove performance yao... Vinginevyo hawafiki popote paleeee!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
wapi nimesema hivyo?? acha kukurupuka soma ueleweSancho Yuko man city?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilijua nabishana na mtu anaejua mpira kumbe ni mshabiki maandazi....Kwahiyo wewe unategemea barca itaruhusu tena makosa?
Yaani wabwabwaji bwana.. Unasema mwenyewe tuache ushabiki lkn nakuona ukiingia kwenye chuki binafsi na barca pamoja na messi.
Huna lingine zaidi ya chuki.
Liverpool hii hii inayocheza kama wanawake na porto au ni Liverpool gani unayoisemea?Tuweke ushabiki wa Messi na Barca pembeni...
Ukweli ni kwamba Barca wameshinda kwasababu ya madhaifu ya kikosi cha Man utd... Hawajaonyesha performance yoyote ile ya kutiiiisha!!!
Kwaiyo usitegemee akikutana labda na Liver eti atapata mteremko kama kwa Man utd...
Ingawa wamewatoa man utd, Barca wanatakiwa waimprove performance yao... Vinginevyo hawafiki popote paleeee!!!
Sent using Jamii Forums mobile app