Wewe majeruhi yamekuja kati ya msimu. Sisi tumeanza nayo! Tumecheza zaidi ya nusu msimu bila full back. Kuhusu kufungwa na Blackburn ndo ilikua kipindi hicho wakati msimu unaanza! Huwezi kuwa na form nzuri bila 1st team regulars. Milan na Swansea ni ishu tofauti na tulifungwa kihalali, no excuse.
Nyinyi hamtaki tu kutoa kisingizio, lakini kikosi kimetepeta. Kuanzia kati mpaka nyuma. Kula mbele hamna shaka. The credit you get, is the fighting spirit that the red devils have. Thats what keeps you going. Kubali kataa!