We jamaa unaniachaga hoi sana, kila nikikkuta jina lako lazima nisome ulicho andika*OGOPA MATAPELI MTAA WA SITA HAUHUZWI.........*
USIKU MWEMA, TUKUTANE NOU CAMPView attachment 1072543
Yohana 3:16
Kati ya 1 - 0, 2 - 0, 2 - 1 ,3 - 0, 3 - 1, 4 - 0, 4 - 1, 5 - 0 5 - 1, 6 - 0 na 6 - 1 munataka zipi?
Naomba jibu please
Nimeshangaa sana jamaa anaposema Mendy hapig kross vzr,Hebu Nenda kwenye Kwenye App ya Barclays Premiere League ukaangalie Mendy ana assists Ngapi, Then ucalculate Howmany Minutes ameplay
Hahaaaaa mm avatar yako ya piere tu inaniacha hoiWe jamaa unaniachaga hoi sana, kila nikikkuta jina lako lazima nisome ulicho andika
Hahaaaaa mm avatar yako ya piere tu inaniacha hoi
Yohana 3:16
Kwamba John Stone ni mzuri kuliko Lindelof!! That dude is full of crap.
Naona baada ya kushinda vimechi kadhaa, umepata guts.... hadi za kuja kwenye Uzi wetuLeo ni tarehe 16 katika Nafasi ya 6
1-2, 1-3, 0-2 ndio muafakaKati ya 1 - 0, 2 - 0, 2 - 1 ,3 - 0, 3 - 1, 4 - 0, 4 - 1, 5 - 0 5 - 1, 6 - 0 na 6 - 1 munataka zipi?
Naomba jibu please
Shabiki gani huyo ameipa sifa Man united..Mashabiki wenzangu wa united tuache kujipa sifa za kipuuzi kikosi chetu
Hatuna world class players
Hivi kweli lingard, smalling, jones, fred, sanchez, matic etc wanaweza kutupa epl kweli???
Achen kukuza sana wachezaji wetu ni wa kawaida mno huyo rashford media ya england imemkuza mpaka anajiona cr7 wakati hakuna kitu he is just another average english player huyo martial ndo mpuuzi wa kutupwa hajutumi hakabi anapiteza mipira anakaa tu sehemu yake anakosa magoli ya wazi etc lakin kuna wapumbavu huku wanaweza sema martial ni level za kina hazard, mane, sterling nk lukaku nae hana ata first touch nzuri hajui kucontrol mpira hajui kujiposition hajui kupiga pasi nk yaani kidogo ata yy anapambana kidogo anaonekana etcetc
KWA SASA NI POGBA TU NA DEGEA NDIO WACHEZAJI WETU WANAOWEZA KUINGIA KWENYE KIKOSI CHA MANCITY, BARCA , LIVERPOOL ETC SASA HII SI AIBU YAANI UNATAKA KUBEBA EPL AU UEFA HUKU UNAWACHEZAJI WAWILI TU BORA WENGINE WOTE TISA NI UCHAFU
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mendy is too heavy for a left back, hamkuti Shaw hata kidogo kwa namna modern full backs wanavyocheza
Kuhusu majeraha, hata Shaw majeraha yamemrudisha nyuma sana
Shaw anapaswa aongeze efficiency kwenye kupiga krosi, eneo ambalo hata Mendy hayupo vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Mendy hapigi krosi acha utani mkuu Mendy na Robertson hawa watu sio wakufananishwa hovyo hovyoMendy is too heavy for a left back, hamkuti Shaw hata kidogo kwa namna modern full backs wanavyocheza
Kuhusu majeraha, hata Shaw majeraha yamemrudisha nyuma sana
Shaw anapaswa aongeze efficiency kwenye kupiga krosi, eneo ambalo hata Mendy hayupo vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Mendy namba nyingine ile kwa kross, yule wakumfanisha nae ni Robertson wa Liverpool basi, Mendy anapigaga kross ,inabaki kugusa tu liwe goliMkuu utakuwa humjui benj mendy vizuri wewe mendy hayupo vizuri kwenye kross??? Mzee utakuwa ni shabiki ukiekubuhu jamaa anapiga kross nyingi mno kwenye mechi moja kuliko left back yoyote epl pale ndani ya mechi moja. Tena kross zake ni za chini na hao kina sterling kaz yao ni kutap in tu.
Kuhusu majeruhi namaanisha msimu huu mendy hujamwona kabisa nadhan kacheza mechi sita au saba tu za ligi wakati huyu wetu luke shaw kacheza mechi karibu zote za ligi.
Embu nikuulize swali lingine kati ya lucas digne wa everton na huyu shaw wetu kwa msimu huu unamvhukua nani kama kweli unajua ubora wa left backs??
Na ukae ukijua france aliitwa mendy ambae alikuwa hajapona vizuri akaachwa huyo lucas digne
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nimeshangaa sana jamaa anaposema Mendy hapig kross vzr,
Huyo Mendy akipiga kross unaweza kupuliza na upepo ukaingia golini,
Pamoja na majeruhi ana assist za kutosha, ni moja kati ya mafullback bora EPL,kwa mechi chache tu alizocheza
Yohana 3:16
Hahahahahahahahah Jamaa anautani na mpira huyoMendy namba nyingine ile kwa kross, yule wakumfanisha nae ni Robertson wa Liverpool basi, Mendy anapigaga kross ,inabaki kugusa tu liwe goli
Yohana 3:16