Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ni sawa na wale wanao ombea wachezaji wa timu pinzani wapate majeruhi.
 
May be my memory is down, nani anakumbuka the time your favorite coach anachukua timu tulikua nafasi ya ngapi? And what an improvement he has made so far?
View attachment 1062242

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna mambo upo sawa na mengine unachemka

Ukiangalia League Table kwa kigezo cha position (namba 6) utaona hamna tofauti katika kipindi cha Jose na sasa

Lakini ukiangalia points difference kati ya United na top 4/3 utagundua kuwa kumekuwa na massive improvement

Kama alivyosema Mkuu Damushin, Jose alipoteza pambano. Lakini kwa mtazamo wangu hakupoteza pambano sababu ya yeye si kocha mzuri, bali kwa sababu nyingine ikiwemo kushindwa kudhibiti hali ya hewa iliyochafuka pale United

By the way bado United ana nafasi nzuri tu ya kuingia top 3/4, japo ni ukweli usiopingika kuwa matokeo ya mechi ya Wolves yametuweka pagumu zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You are a real fan of football..!

Manchester wengine waliobaki ni mashabiki uchwara..! Mimi huwa ni Chelsea ila mambo ya unazi yaliisha zamani sasa mpira sasa ni biashara na si ujiko koko tena. Investors wanaangalia kama wanatengeneza pesa si kushinda tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kwanini mashabiki wa man hamusomi nyakati mu sawa na CCM Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumekucha, naona leo BBC na Sky na magazeti mengine wanaripoti kwamba kuna uwezekano wa Man United akaachana na wachezaji 6 au zaidi katika dirisha la usajili lililo mbele yetu

1. Juan Mata (Barcelona bure)

2. Ander Herrera (PSG bure)

3. Antonio Valencia (Anaondoka Bure)

4. Mateo Darmian ((Hayupo kwenye mipango ya kocha)

5. Rojo (Yupo sokoni)

6. Bailly (Hajamshawishi kocha)

Wengine lakini kuna vikwazo

7. Degea (Makubaliano ya mkataba ndio kikwazo)

8. Alexis (Hauziki sababu ya mshahara mkubwa anaolipwa)

Je hii ndio overhaul tunayoitaka?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waingereza wasitufanye sisi ni wazembe na matahira wa kutupwa, hiyo list haiwezi kuwa sahihi bila ya uwepo wa phil jones, jesse lingard, ashley young.
 
Waingereza wasitufanye sisi ni wazembe na matahira wa kutupwa, hiyo list haiwezi kuwa sahihi bila ya uwepo wa phil jones, jesse lingard, ashley young.
Hahahahaha

Lingard ni English, Manchester local lad, academic product (japo binafsi naona anafaa kuwa kwenye squad) sahau kuuzwa

Jones ni English, ame renew mkataba juzi juzi miaka 4 (labda ili kuweka thamani yake ili auzike) na OGS anaonekana anamkubali, hivyo ni ngumu kuuzwa

Young ni Mwingereza mwingine, kapteni, ame renew mkataba wa mwaka 1 lakini kubwa zaidi kuna wachezaji 2 wa namba yake wanaoondoka hivyo sioni na yeye akiuzwa (utawa replace vip?)

Kazi tunayo





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii overhaul ifanyike kwa umakini sana vinginevyo next season tutaanza kupigana kutokushuka daraja.

Sema ukiangalia hiyo list wachezaji mechi wanazocheza hazizidi tano kwa msimu ukiondoa de gea na Herrera
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafasi nzuri ??

1.Umeangalia fixtures ya timu zinazogombania hizo nafasi ?

2.Umeangalia viwango vinavyoonyeshwa na hizo team kwa sasa ukilinganisha na United?

3.United inaweza kushinda mechi zote 6 zilizobakia ?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manchester United are set for their biggest summer clear-out for four years with as many as six established players possibly leaving Old Trafford, Sky Sports News understands.

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Arsenal ana fixtures za Toffees, Watford, Wolves na Burnley ugenini

Arsenal ana fomu nzuri sana nyumbani, lakini ugeni amekuwa tia maji tia maji especially kwa hizo timu nilizozitaja akiwa ugenini atapata tabu sana. Lakini kiujumla timu ya Arsenal haijawahi kuaminika.

Chelsea ana fixtures za Man na Liverpool away, hapo sijataja mechi zake dhidi ya mid "tablers" ambapo juzi tu dhidi ya mshuka daraja Cardiff umeona alivyomhenyesha

Spurs amebaki na Man City, lakini mechi nyingine alizobaki nazo sio ngumu sana. Lakini kumbuka huwa anafungika na timu ndogo pia, angalau Spurs ndio yupo pazuri

Kwahiyo top 3 race bado ipo open Mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sioni sababu inayofanya United awe na nafasi nzuri kumaliza top 4 kimahesabu uko Sawa but Arsenal akishinda kiporo chake anatuacha point 5 .Spurs & Arsenal wana goal difference 26 while United ana 18

Arsenal anaweza akafungwa hata mechi 2 na tusimfikie,Kinachosikitisha ni kiwango cha United kwa sasa ukweli ni kwamba hatuwezi kushinda mechi zote 6 zilizobakia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Mtazamo wangu, Nafasi ya Kuingia Top 4

Arsenal 30%

United 30%

Spurs 25%

Chelsea 15%
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Honestly hapa united ndio tuna nafas ndogo zaid labda hapa kitu kinachoweza kufanya nafas kuongezeka kwetu ni kama Arsenal atafungwa game ijayo na ss tukapunguza gap uku tukitarajia Chelsea apoteze dhid ya liver game ijayo itafanya top 4 race iwe open kwa team zote 4 I mean tot,united,chelsea,na Arsenal
Kwa Mtazamo wangu, Nafasi ya Kuingia Top 4

Arsenal 30%

United 30%

Spurs 25%

Chelsea 15%

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha

Hiki kicheko nadhani hata washabiki wenzangu wa LIVERPOOL wakati wanasoma hii reply yako wamekicheka




13SEPTEMBER
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…