Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Icard ni gambling kuja epl.Lukaku bado ni potential aise ulimwengu wa sasa una pure 9 wachache sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanaomdharau Lukaku huwa siwaelewi kabisa

Leo tunamuona Icard wa maana kwa kuwa hayupo timu yetu lakini akija probably tutamkataa

Tulimtaka sana Morata, kwa sasa tukiambiwa tumchukue sidhani kama wapo watakaomkubali

Tulimtaka sana Lindelof, tulimtaka sana Fred, tulimtaka sana Bailly, tulimtaka sana Micki lakini je bado leo tunawakubali kama kipindi ambacho tulikuwa hatujawapata

I'm sure kuna timu nyingi sana zinamtolea macho huyu jamaa, ngoja tujichanganye

By the way, msimu uliooita Lukaku was the fastest player at United, kwa wanaosema Lukaku is slow walitambue hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fuc.ky u dude, umeongea analysis Bomba Sana, nadhan we should get up, and walk away
 
Hata Mimi namuelewa Lukaku hasa baada ya kumuangalia kwa makini
kwa mechi nne mfululizo nimegundua kuwa lukaku ni mzuri sana team ikicheza kwa speed kuliko ikicheza kwa kujilinda kama Mourinho.

Icardi anaweza akawa mzuri kwenye ligi ya Italy ila EPL kwa wachezaji wa Latin Amerika siyo ideal sana kwao maana list ya walioshindwa ni wengi kuliko waliofanikiwa.

Man bado iko disconnected baadhi ya maeneo lakini ikipata muunganiko mzuri Lukaku atakuwa mzuri zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Liverpool are set to miss out on £70m-rated Ajax sensation Matthijs De Ligt with the Barcelona president flying to Holland to broker a transfer. (Sun)

Walio serious na usajili sie ni rumors

De ligt yeye mwenyewe alishasema kwamba anataka kwenda Barca so labda Barca wamkatae ndo aende timu nyingine
 
kuna wadau humu wanaonea huruma pesa za salaries au ada za uamisha za United as if zinatoka mifukoni mwao

always nasemaga, sijali mshahara au ada anayolipiwa mchezaji either iwe kubwa au ndogo kwangu mimi mchezaji awe anadeliver tu basi

mambo ya Sanchez kula 500k mimi hayanihusu coz ndo kazi yake nnachotaka mimi afanyekazi yake kwa weredi

hela za Man United kwanini wewe uteseke???
 
Hawa jamaa wanahamishia Ajax yote kwao ?
Hivi na Cisto wameshachukua ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia wana mpango wa kuingia makubaliano na Ajax kuhusu academy yao , wawe wananunua vipaji kwa kupewa kipaumbele linapokuja swala la kutaka mchezaji,

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Mmeamkaje watu wa Tanzania, jabarini za mchana amerika.

Natamani apatikane box to box canibre ya scholes, Keane, schntitiger, mjamaa anajina gumu, iniesta, herera, kiungo ya kweli.

Au sio Pereira, herera wapate fast dm wenzao wakutosha.

Kirusi Cha mshahara kinaisumbua timu sosha sijui atazuiaje hiking kitu

Kwa mtazamo wangu, anaetikisa kwa sabb ya salary, akakataa kusaiini mkataba, to hell, muache, pambavu.

Kwanza ni indiscipline, huwezi ish na mjinga Kama huyo
 
kwahiyo kwa upande wako sasa au lets assume we ndo player halafu bosi wako kaleta mkataba mezani wewe hujakubaliana nao ukakataa means na wewe ni "mpumbavu" na hauna discipline kwahiyo bosi wako akuache hawezi fanyakazi na "mjinga" kama wewe

according to your words
 
HERRERA: UTD FUTURE TALK 'LOGICAL'
Ander Herrera
says his future at Manchester United remains unclear and has described reports of a possible move to Paris Saint-Germain as “logical”.
The midfielder is in the final weeks of his contract at Old Trafford and the Spaniard would be free to leave for free if the 29-year-old is unable to reach an agreement over a new deal before the end of the season.
"It's logical when you have three months left on your contract and it is the international break," Herrera told Spanish publication El Periodico.
"I knew something would come out. I take it with a pinch of salt, I'm focusing on playing football in the remaining month and a half of the season.
"The rest I leave to my agent, both a possible contract renewal with United and talks with another club about my departure."
FULL STORY

 
PAPER TALK

On today's back pages:
• Man Utd close to appointing Solskjaer
• Could Arsenal land Herrera?
• McLeish clings onto Scotland job
• Guardiola hopeful of injury boost

More here: Transfer Centre (Sky Sports) Sky Sports Premier League on Twitter

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
11:17



UTD CLOSE TO OLE APPOINTMENT
Manchester United
may not even wait for the Premier League to return before appointing Ole Gunnar Solskjaer as manager, reports the Daily Mail.
Solskjaer's impressive form since taking over at Old Trafford has seen him pick up more points than any other manager in that time - despite losing their last two games to Wolves, in the FA Cup, and Arsenal.
 
Ole ikitokea amepewa kazi basi awe makini sana na Pogba,anaweza kumharibia kazi.

Pia kosa kubwa zaidi ni kumfanya Pogba ajione mkubwa kuliko wachezaji wote, hii itazidishwa zaidi ikiwa watampa unahodha. Pogba hafai kuwa nahodha.

Ushauri wangu, United wampe Herrera mkataba wa muda mrefu na mshahara anaohitaji pamoja na Unahodha.
Sio rahisi kumpata mtu anayeipenda timu kama Herrera.


Haiingii akilini Martial na kina Jones kuvuta mkwanja mrefu kuliko Herrera.
 
Mtu pekee anayefaa kuwa nahodha pale United ni Ashley Young au Juan Mata wengine hawana hizo leadership personality ni kuwabebesha mizigo wasiyoiweza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwanini Pogba asipewe na Herrera apewe hebu fafanua kidogo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…