Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii timu ina utoto mwingi mkuu, nadhani Nani alikuwa anacheza na wenye MUFC yao ndio maana alikuwa anapambana.

Tatizo lingine ni pale watakapompa Pogba unahodha, ndio wataharibu kila kitu maana hata Pogba ana utoto anatakiwa apate wa kumkemea.
Hata ukimwangalia leo alikuwa na ubishoo mwingi sana uwanjani bado timu ina safari ndefu sana
 
Mkiambiwa timu yenu ni nyanya masaro mnakuja na Ole this, Ole that. Haya subirini kuishia nafasi ya 7.
 
Martial hamna aisee...waletwe watu

Hivi si mnamwangaliaga Sadio Mane anayoyafanyaga akitokea on left flank??

Lingard must go

Rashford must go too

Tofauti na hapo naamini tutaendelea kuwa wajinga wajinga tu
Tuzibeni kwanza mapengo yaliyopo ndio tuanze kuleta watu wa kucompete nafasi zilizo na watu.

Sent using simu mbovu
 
Nilishawahi kusema humu ndani, wachezaji tulio nao pale Manchester ni de gea na pogba tu, hawa wengine ikiwezekana tutoe tu hata misaada kwa timu zisizo na uwezo kutoka farmer league kama serie A na league one, wachambuzi wenu uchwara wakanijia juu sana. Eti oooh rashford rashford
, who the fuvk is rashford? Hapati namba hata MK dons

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmeanza kuwakataa sasa hao sindio walicheza game 9 zilee mfululizo bl kufungwa sindio wamewatoa arsenal na chelsea fa.. sindio wamewatoa psg uefa au ulkuw upepo wa mdaaa upepo umekataaa sasa mmeanza kukimbiana sasaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah game moja tu naona mnawakataa wachezaji wenu wote aisee polen Sana!!
Mpira Wa mguu unaweza fanya mtu uonekane chizi
Juu huko kabla game haijaanza niliona comments za "BONGE LA KIKOSI"


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usikurupuke ku comment kama ni mgeni humu, tafuta post yangu yoyote ambayo nimewahi kisifia hiki kikosi na kocha wao, ukiipata moderator wanipige ban sasa hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…