Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Baada ya kupata vigoli vya mchekea sio?


Sent from my iPhone using Tapatalk
Kwann usiwe ukweli , Yale mabunduki unasema vigoli?

Ukweli ni huu kwa city inayohitaji ubingwa na man u inayokaa nyuma kwa timu zinazopossess , hata sare ni ngumu kupata

Kama hauamini, siku ya mechi hii ,tukumbushane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ili tufunzu top four tunakiwa tumfunge chelsea,coz yeye anakiporo pia tushinde match yetu na city spurs anawakati mugum ataenda etihadi kwa city pia anfield kwa liverpool so anaweza kutoka top four,tusiposhinda match hizo mbili especial ya city ni ngum sana match ya chelsea naona ni winable kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hamna goli pale zaidi ya upepo bahat ilikuwa kwenu tu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 

France anachukua world cup timu aliyoizid kumiliki mpira ni australia tu unaweza kuwa na mpira usikusaidie sasa kama timu inakaa nyuma inakufumuaje chuma 3? Kwa nini isiwe sare?


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Ata ya arsenal muliona ushindi kabisa..

Ila matokeo sisi tunayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa ufupi Ole hana future ..hajui kama atabaki manure msimu ujao, au ataondoka mwishoni mwa msimu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
What the hell are you speaking..... zizzou aitake Chelsea timu anayoizidi hata umaarufu......are you serious kweli wew boga....Zizzou a I take timu yako 2004


Sent using Jamii Forums mobile app
Uyo zizzou alitoa option kama angepewa M200 angekubali kuja darajani ..lakin sisi hatukuwa na mpango naye ..pengine labda kwa sababu tumefungiwa kusajili...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…