Manchester United (Red Devils) | Special Thread

GGMU tunashinda pamoja , tunapoteza pamoja
Kilichotupata leo ni kitu cha kawaida, wengi tulizungumza kuhusu matatizo ya fred kuanza, na nafkiri tumeona alivyo perfom poor kipind cha kwanza na alivyohusika directly kwenye goli la pili.
Tusimlaum kocha kwasababu wote hatujui fittnes level ya mctominay.
Tumejitahid kucheza vizur na tumetengeneza nafasi nyingi kabla ya arsenal kupata goli la pili, ambazo tumeshindwa kuzitumia.
Najua kocha ameona mapungufu na naamini atajitahidi ku bounce back .
GGMU together

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Let's all be honest..... Arsenal won this match because Lingard wasn't available in his dance floor.
 
Chance nyingi sana hata kabla ya goli la kwanza... But naamini kapata cha kujifunza leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japo sijaangalia game lote kwa dakika nilizoona nadhani mechi ya leo ina mengi ya kujifunza sana,kuna comb zinakataa kabisa hawatakiwi kukaa pamoja .

Sent using Jamii Forums mobile app
Pogba-matic-fred very poor one.... Pia nimeona kauvivu flan leo sjui kametoka wap... Pia rash selfishness na kutojituma sana as back days...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…