Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,426
- 8,726
kwa matokeo ya juzi dhidi ya psg,nimegundua united tunaweza kucheza mechi mbili mbili kila wikend na tukamaliza ligi mapema kabisa ili tuokoe muda. Tuombe timu A ipone haraka tuanze mchakato.
kwa matokeo ya juzi dhidi ya psg,nimegundua united tunaweza kucheza mechi mbili mbili kila wikend na tukamaliza ligi mapema kabisa ili tuokoe muda. Tuombe timu A ipone haraka tuanze mchakato.
Kivyovyote mkikutana na Ajax kweny stage yeyote ile ndo utakuwa mwisho wenu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini maoni yako hapo kwenye kikosi hicho.
Kuna uwezekano Matic naye akarudi
Maboresho kwa mtazamo wangu
Pereira kwa Fredy, Matic (kama amepona completely) kwa Tominay na Dalot kwa Young View attachment 1040761
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini maoni yako hapo kwenye kikosi hicho.
Kuna uwezekano Matic naye akarudi
Maboresho kwa mtazamo wangu
Pereira kwa Fredy, Matic (kama amepona completely) kwa Tominay na Dalot kwa Young View attachment 1040761
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa NemoWatu wamekazana kumtaja taja OGS ila kuna mtu pale hatajwi kabisa anaitwa Mike Phelan, huyu ndio mastermind ya mabadilko haya ya Man U .....Ole wa kawaida sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wamekazana kumtaja taja OGS ila kuna mtu pale hatajwi kabisa anaitwa Mike Phelan, huyu ndio mastermind ya mabadilko haya ya Man U .....Ole wa kawaida sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wamekazana kumtaja taja OGS ila kuna mtu pale hatajwi kabisa anaitwa Mike Phelan, huyu ndio mastermind ya mabadilko haya ya Man U .....Ole wa kawaida sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana.Tafuta utaona maana niliweka post toka allfootball kuna jamaa akanitukana
Phelan ana mchango mkubwa sana kwenye mabadiliko yanayoendelea pale UnitedWatu wamekazana kumtaja taja OGS ila kuna mtu pale hatajwi kabisa anaitwa Mike Phelan, huyu ndio mastermind ya mabadilko haya ya Man U .....Ole wa kawaida sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Angepewa timu awe manager then.Watu wamekazana kumtaja taja OGS ila kuna mtu pale hatajwi kabisa anaitwa Mike Phelan, huyu ndio mastermind ya mabadilko haya ya Man U .....Ole wa kawaida sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Injury Concern kuelekea game ya Arsenal
Bailly is okay/fit to play
Herrera and Matic one/both of them can play on sunday
Martial is back/fit to play
Sent using Jamii Forums mobile app
Martial. Matic wapo fit.Wakuu hakuna updates za recovery kwa majeruhi wetu??
Injury Concern kuelekea game ya Arsenal
Bailly is okay/fit to play
Herrera and Matic one/both of them can play on sunday
Martial is back/fit to play
Sent using Jamii Forums mobile app
Angepewa timu awe manager then.
Hatukatai uwezo na uzoefu wake kuwa msaada mkubwa kwa Ole, ila sio kumshusha OLE na kufanya aonekane kama Kibadeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia nzima kuna watu kama kina Phelan.Watu wamekazana kumtaja taja OGS ila kuna mtu pale hatajwi kabisa anaitwa Mike Phelan, huyu ndio mastermind ya mabadilko haya ya Man U .....Ole wa kawaida sana
Sent using Jamii Forums mobile app