Bwa bwa bwa bwa bwa bwa bwa bwa bwaKiukweli nimeumia sana Man u Kushinda .. kesho sijui sura yangu nitaiweka wapi
Kiongozi.
Hata huku bongo mkuu, sio uingereza tuLukaku yupo kwenye form sana. Nimefuatilia hizi match za tatu za mwisho, vyombo vya habari vya Uingereza havimpi pongezi anazostahili. Kind of racism hivi.
Hii picha inabidi kuitunza, Rashford anamwambia Mbape usilie, mtashinda Serie A...
Pamoja mkuuMkuu umeongea point kubwa sana. Kugusa mpira mara moja ukazaa goli ni bora kuliko kugusa mpira mara 120 (kama Fred) bila goli. BIG UP, NIMEKUELEWA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Keep on hatingndo masifa nisiyoya takaga kwa hawa mwanitesa wakisha bebwa mnaongeaga sana
Pamoja mkuu
Ila Fred naye kakaza
Kucheza na PSG, mchezaji mmoja tu katika timu akicheza hovyo lazima mfungwe kwani wana timu bora sana
Hivyo inaonekana wachezaji wote wamecheza kufa na kupona
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu achana na Dalot ni mpira mmoja tu uliosababisha penalt kapiga wa maana dakika zote 55 alizocheza. Man of the Match ukiachana na Lukaku ni yule yule Tominay amewavuruga sana pale kati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunahitaji goal Moja tu kuvuka round ikiwa tutawazuia wasifunge jingine wakifunga tutalazimika kupata two goals tena.
E Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, Mungu wa Lukaku tunakuomba usimame nasi usiku mpaka tutakapowatoa rasmi PSG.
Amina.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii sala ilisikika hakika