Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Sahv umeanza kuelewa sasa tunachokisema hapa
 
Yeah....

Namimi ninaamini bado tuna option nje ya club

Ila Ed anapaswa ajifunze hapa. Kwa wachezaji wetu bora inabidi mazungumzo yaanze mapema, hata miaka 2 kabla ya mkataba ku expire ili hata mchezaji akizingua auzwe kwa bei nzuri

Kwa sasa hatuweza kumuuza kwa thamani ambayo ni thamani yake halisi

Degea naye anakosa fadhila hapa, hakumbuki SAF alikuwa ana option ya kumnunua Nuer lakini akamuamini Degea. Pia Degea alianza vibaya sana pale United lakini timu ilimvumilia

Halafu hoja ya kutaka mshahara flani kwa sababu flani analipwa huo mshahara ni hoja mfu sana

Nadhani Ed anaogopa kumuuza sababu ya soko kuchafuka, maana ili kupata kipa mzuri sokoni kwa sasa inabidi uteme zaidi ya £70 million

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usimfananishe Oblack na vitu vya kijinga mkuu..kwa sasa kipa bora anayeongoza ni yeye..

Uyo de gea labda akina Ederson, Allison au Kepa ivi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hapa tupo pamoja 100% mkuu
 
Suala ni nan bora kati ya KDB na uyo PP

Apa ni sawa na kusema Hammer na Chevrolet lip gari lenye uwezo ..mimi nitakuambia Chevrolet..

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa sababu ni kwa maoni yako hakuna atakae kubishia. Embu tuambie umetumia kigezo gani kusema kdb ni bora kuliko pogba??


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwenye press conference ya Pep jana amesema city inahitaji wachezaji 4 au 3 ukiangalua form yao na uwezo wao sijui sisi tutafanya nini tusiposajili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…