Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kashapewa jones , five years.
Jones, anaefanya kazi medical team.

Sent using simu mbovu
 
sio msimu huu tu na misimu mingi nyuma amebeba timu na kuweka mabegani kwake.

je akiondoka De Gea hatupata points tatu?? kisa tu yeye hayupo?? De Gea hayupo Man city, Barca wala PSG je hao hawapati points?? De Gea yupo United je United haifungwi yeye akiwa kwenye milingoti mitatu.

by the way napenda sanaa challenges zako hapa jukwaani.

sikupingi na ulivyosema hapo juu ila mimi nataka mchezaji anaedeliver.

ova
 

Hahaha...ww De gea hapo alipo anakula almost paund 200,000 kwa week hakuna keeper anaekula hyo hela pale PL na nadhani hata duniani ss yeye anatka paund 300,000 na ushee, yaani itakuwa ni record ya Dunia kwa Keeper kulipwa hela hyo.
 
Tupo pamoja mkuu,

Na ninaiona hoja yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee utamu wa top 4 inatakiwa uwe wa nafasi mbili za kugombaniwa(spurs,man utd,chelsea na asernal)
Binafsi sitaki spurs awe safe nataka chance iwe kubwa kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Spurs anatakiwa kushinda au kudraw leo.ampunguzie arsenal speed.
Arsenal ana mechi rahisi on paper, tofauti na sisi.
Anyway spurs atapigwa tuu huko mbele ana liver na City.
Mi naomba draw leo. Na sisi tushinde leo.

Sent using simu mbovu
 
naomba nikusahihishe hapo kwa De Gea

De Gea ndo kipa anaelipwa mshahara mkubwa zaidi duniani kuliko kipa yeyote yule

De Gea analipwa mshahara mkubwa kuliko mchezaji yeyote wa Arsenal ukiondoa Ozil

De Gea analipwa sawa na Salah na Hazard ukiondoa hao hakuna mchezaji mwingine wa timu hizo anaemfikia De Gea


usirudie tena kumfanisha na hizo takataka za Everton sijui Westham
 
Harzard na De Gea wanacheza nafasi tofauti ..nafasi ya De Gea ni muhimu zaid pengin kuliko hata ya Hazard..

Sasa kama ni hivyo bas ni khalali yake kabisa kutaka kulipa zaid ya Sanchez..

Kwani Harzad umesikia akililia mshahara?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha...ww De gea hapo alipo anakula almost paund 200,000 kwa week hakuna keeper anaekula hyo hela pale PL na nadhani hata duniani ss yeye anatka paund 300,000 na ushee, yaani itakuwa ni record ya Dunia kwa Keeper kulipwa hela hyo.
Iyo ni sawa kabisa ..kwa jinsi anavyosave ni hali yake Kutaka kulipwa zaidi ..sasa kaa Sanchez anaingiza paund laka tano uko, je ana goli ngap? ana assists ngap? Pass accuracy je?

Huoni mchango wa De gea na Sanchez ni tofaut kabisa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Makeeper wazuri wapo mkuu sema tu tumetokea kumpenda De gea na kwa kuwa yupo pale muda mrefu ila hzo tamaa zake mimi ndo zinanikera,Oblak wa Atletico minaona hawajatofautiana sana na De gea kwa uwezo au hata yule dogo wa Milan Donarumma ni mdgo lakin tayari ni World class kwa mtizamo wangu!
 
Sasa kma analipwa huo mshahara mkubwa kuliko Harzad na Salah Si atulie anataka mwingine wa nini..? Au anaona wivu Sanchez Bench Warmer anapigwa li paund laki tano uko na yeye anapambana na mishuti ya haja kila Siku golini anataka apewe huo mshahara..!!

Hivi unadhani mgt itakubali? na kama man u wakikubali basi watafungua njia kwa wengine kutaka mishahar minono zaid..

Kwa iyo ni bora asepe tu mtafute kipa mwingine..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…