ruralofficer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,499
- 3,635
Tatizo wewe una mwona solskajer pekee wakati kuna mafundi nyuma yake mike phelan et alnipo serious mzee wa syria, mambo ya motisha haya yanaishaga. Tupate mkufunzi na mwalimu sio mhamasishaji
Ila watu mko wabishi mpaka kero!!Alimradi tu kuonekana hamkubaliani na wengine. Hamasa nayo ni moja ya mbimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu uko serious au jokes Tony Pulis na huyo wa Huddles ndio aje kuinoa United hii?
Big Noooo, mpe OGS fungu aingie sokon kwakuwa anajua utamadun wa United, anaipenda United, then fans tumsapoti.
GGMU.
Sent using Jamii Forums mobile app
OGS hana mbinu? Mbinu gani unazitaka pale OT.Tatizo OGS hana mbinu, labda tumpe expisure kidg kwanza. Yani kitu kidgo tu hawez fanya maamuzi mpaka aulize kila kitu, sa zingine anamtext furgesson “nimwingize nani?”.
Inategemeana na maelewano kati ya kocha na wachezaji.Yodoji bana, hamasa tatizo huwa zinaisha. Yani ile pale ni kama MC wa sherehe
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tatizo wewe una mwona solskajer pekee wakati kuna mafundi nyuma yake mike phelan et al
Sent using Jamii Forums mobile app
Tony pulis.. to hell with him. Hana hadhi ya kuwa united. Kuna makocha wenye hadhi ya kufundisha united ila sio tony pulis.liva wepesi wale, Tony pulis angewalamba hata 4 wale...... Ole ni mhamasishaji tu, yani pake man u ye ni kama MC wa shughuli
Kikos cha utd kilikosa hamasa tu ukitaka kuamini angalia wakat wa Maurinho.Mafundi wapo hawahitaji kufundishwa zaidi ya kupewa sababu ya kufa kwaajili ya clubbasi wote wabovu, aingie Tony pulis na benchi lake lile....... fundi sana jamaa yule. Watu kama lukaku hawapaswi kuwa OT
Umeona mechi ambazo fred kapewa nafasi..? Mshkaji bado sana kuzoea mikikimkiki ya epl.mbuminu ni kumtumia fred na kupata matokeo, sio kutumia madogo kupata draw.
Kikos cha utd kilikosa hamasa tu ukitaka kuamini angalia wakat Mau.Mafundi wapo hawahitaji kufundishwa zaidi ya kupewa sababu ya kufa kwaajili ya club
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona mechi ambazo fred kapewa nafasi..? Mshkaji bado sana kuzoea mikikimkiki ya epl.
Ndio maana haumiwi sana..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kikos cha utd kilikosa hamasa tu ukitaka kuamini angalia wakat wa Maurinho.Mafundi wapo hawahitaji kufundishwa zaidi ya kupewa sababu ya kufa kwaajili ya club
Sent using Jamii Forums mobile app
OGS hana mbinu? Mbinu gani unazitaka pale OT.
Anachofanya OGS ni kufuata style za babu.
Anacholack ni uzoef wa ku manage timu kubwa.
Huwez recommend makocha wanaotoka kwenye vitim mbav mbili waje wamanage united. United club kubwa bwana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka lukaku afundishwe ball control?kwani oke katika madrid? Oke mi simkubali, tupatiwe koch mwny uwezo wa kuwatrain wachezaji
Kama umkubali ww powa.. lakin asilimia kubwa ya mashabiki wanamkubali. Ameibadilisha united.. kutoka man u ya mou to man u inayotarajia ushindi kila mechi.kwani oke katika madrid? Oke mi simkubali, tupatiwe koch mwny uwezo wa kuwatrain wachezaji
Fred anahitaji training, tatizo oke hawezi. Mtu kama fred hahitaji motisha ndio mana anafeli.
Kama umkubali ww powa.. lakin asilimia kubwa ya mashabiki wanamkubali. Ameibadilisha united.. kutoka man u ya mou to man u inayotarajia ushindi kila mechi.
Yes huenda kuwa hajatoka kwenye timu kubwa. Lakin inahitajika kocha mwenye kuujua utamaduni wa united.
Na hapa ndipo ole amewaid walipita. Kilikuwa ni kitu rahis tu. Ukile ta kocha wa mfumo mwingine ataanza kubadilisha mifumo.. tutarudi nyuma tena kama zamani kuanza ku struggle na mifumo mipya.
Wamekuja makocha wangapi wapya kutoka timu zingine na wameunguza...? Tena kutoka tim kubwa kubwa..
Ww unakuja ku recommend makocha wa tim za mwisho huko. Hadhi haijashuka kias hiko mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app