Young siyo defender, yeye huzuia kwa kurudi nyuma, adui akiingia kwenye yard ndo anaenda kumkaba, huwa simwelewi km ndivyo anavyofundishwa au anajiongeza
Mabadiliko yasipofanyika kwa young lazima tupigwe kama tatu ivi,
Plz mwenye namba ya yule kocha mmasai ampigie amwambie young anaruhusu sana croossssss.
Kiwekwe kigingi pale kinachokaba mpaka kivuli daadeki, nataman herera angekuwa beki alaf ndo apewe iwobi leo.
Nyie bila kuturogea wachezaji wetu hamuwezi kutufunga. Mambo gani haya kila little touch wachezaji wanakwenda muhi2. Mchawi wenu atakuwa wa Mziray. Lukaku naye kama guruwe anadhani hii ni UFC utapigaje mtu teke la sikioni ktk soka?
Nyie bila kuturogea wachezaji wetu hamuwezi kutufunga. Mambo gani haya kila little touch wachezaji wanakwenda muhi2. Mchawi wenu atakuwa wa Mziray. Lukaku naye kama guruwe anadhani hii ni UFC utapigaje mtu teke la sikioni ktk soka?
Timu yetu bado ina ugonjwa wa miaka iliyopita. Hatutafika mbali kwa miaka kadhaa. Beki mbaya, mid ya wastani kama sio chini yake. Majeruhi kila siku. Yanayokuja yanatatupa heart attack.