Mkuu rashford kaanza kuimarika muangalie saiv anavyodrible mpira na chengaYani kama rashford angekua na uwezo mguuni kama martial, basi leo rashford tungekuwa tunamuweka kama next ballon d'or winner
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu pia mi naona kama mechi ya spurs upikuwa ndo ufunguo wa kuanza kupigania top 4 hapa ina maana zile timu zilizopo top 5 kwa sasa tuna uhakika wa kuzibutua
Mi nilikuwa nasubir mech ya spurs nijue utimamu wa solskajer na wachezaj wetu kama wanaweza kupambana kwa sasa hofu imeisha mech mbili nnazopigia hesabu ni city na liverpool.Ile game iliwapa sana confidence, hata timu zilizotegemea kuchukua ushindi kirahisi kwenu akili zimewarudi.
Game yetu na ninyi itakuwa na magoli kama 4 na kuendelea, kuna uwezekano wa 3 - 2 in favor of anyone au 4 - 2/3.
Yule chelsea nae katuzidi 3 mpira una maajabu sana wale sari ball hawana hamu.
Mi nilikuwa nasubir mech ya spurs nijue utimamu wa solskajer na wachezaj wetu kama wanaweza kupambana kwa sasa hofu imeisha mech mbili nnazopigia hesabu ni city na liverpool.
Mourinho: “My philosophy depends. I’d love to go to a club and be in conditions to do what Jurgen and Pep did. When Jurgen is in the club and wins absolutely nothing for three and a half years, still has the trust, confidence to keep going.” #mufc [beIN] beIN SPORTS on Twitter
Mi nilikuwa nasubir mech ya spurs nijue utimamu wa solskajer na wachezaj wetu kama wanaweza kupambana kwa sasa hofu imeisha mech mbili nnazopigia hesabu ni city na liverpool.
Mechi zote ni ngumu kwa kila upande, Liverpool kupata matokeo OT itakuwa ngumu. Ila City watawaua, kiuhalisia City hana mtu wa kusimama naye EPL, labda matokeo yake kibahati tu.
Sanchez akiwa fiti 100% dogo itabidi ale benchi akili imkae vizuri
Arsenal?Mgonjwa anakunywa uji mwenyewe hahahaaaaaaa
Tulishasema huko nyuma Martial ni mmoja ya wachezaji wenye talent kubwa sana lakini sio mpambanaji ndio maana hata Deschamps alikuwa anamwacha timu ya taifa,now timu ina kocha mpya kile kisingizio cha Mourinho hakipo tena he must work hard otherwise ataishia benchi au kuuzwa.Now ana advantage namba yake hana competitor Rashford anacheza namba 9 while Sanchez majeruhi kama Sanchez akirudi akacheza vizuri next season ataanzia benchi kwa sasa ni ngumu sana kocha kuwapiga benchi Pogba,Lingard na MartialHivi mashabiki wenzangu wa united mnamuonaje martial??
Ujue mpaka leo mimi nampa nafasi anionyeshe kuwa naweza kuwa mshabiki wake wa kudumu halafu nashindwa??!!
Naona kama ni mchezaji ambae sio type yetu kabisa!!! Hana ari, hana morari, sio mpambanaji, hatafuti kwa hali na mali, yani ye ni mpaka ikitokea basi sawa,
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu mbona unapiga hatua kumi mbele na kurudi kumi na moja nyuma?? huku ni kumdisrespect RonaldoWachezaji wengi wenye talent kubwa ya mpira na kufanikiwa, huwaangushi kirahisi, huwatoi kwenye mpira kirahisi, martial ana talent ila ukimgusa tu kaachia mpira,
Muangalie messi, dybala, robben, hazard, hawana miili, ila huwatoi kwenye reli kirahisi,
Rahsford yeye ni kama ronaldo tu, kipaji sio sana. ila wengi wetu humu tumekua mashabiki wa ronaldo sababu ya kupiga mikwaju hapa na ulaya, anaweka, popote pale anapiga na anaweka, header anaweka, shoto anakuweka, kulia anakuweka, ila talent hana sana, ila tizi analo kupita karibu wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
UnitedArsenal?
Hahaha baada ya kubahatika kuifunga timu isiyo na striker vipofu mmeanza kuona!!!United