Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Utapiga sana kelele lakini tukikutana na wewe tutaendelea kukutia adabu,na imegundulika mtu anayepokea bahasha zetu ni Mr. Bean

Sawa tutakutana kwenye CL
khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Hiyo CL wewe unajulikana ni msindikizaji mzuri,mwakani utaanzia na Europa Cup
 
Hiyo CL wewe unajulikana ni msindikizaji mzuri,mwakani utaanzia na Europa Cup

Mpira hautabiriki mkuu hao Barca unaowaogopa tuliwachapa magoli Emirates sasa kuna nini cha ajabu? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Kumbe utakuwa unaangalia tu pole sana .... ... marefa wa Europe hawapo kwenye brown envelopes system ya manure ndio chababu mko nje ... .... Phew!



Nyie endeleeni na ushoga tu khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee
 





HAYA WACHA1
 
Reactions: Nzi
adui mwombee njaaa nimekuja kutanguliza pole....:eyebrows:
 
Reactions: Mbu

you make my day Wacha.
Usijidai kuwa umesahau kuwa hao ni Waingereza, na PM wao ni yule yule...
Teh teh teh teh!
 
ila hii list ya leo inapina wasiwasi ..ila benchi sio baya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…