Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,562
- 21,516
Unamkumbuka Kocha aliewapa kikombe cha Uefa Chelsea ???hivi hawa ma interim coaches hata wakichukua ubingwa huwa hawapewi timu kwa sababu gani?
Mimi niljijengea utamaduni wa kula na kushiba vizuri kabla ya kuangalia mechi zetu na ulikuwa unanisaidia sana.Kwema mzee mwezangu, Jose alinifanya nilikimbie jukwaa kwa muda
mbona mifano ipo ya makocha waliopewa mikataba ya kuendelea kufanya kazi.hivi hawa ma interim coaches hata wakichukua ubingwa huwa hawapewi timu kwa sababu gani?
Ha ha ha, mbinu nzuri sana hiyoγMimi niljijengea utamaduni wa kula na kushiba vizuri kabla ya kuangalia mechi zetu na ulikuwa unanisaidia sana.
Smalling wa nini,asepe aje kitasa wa maaana...ten years and never get better...kapiga na Vidic ,Rio, Pique,Evans,Brown,.. national Team kapiga na kina Terry nk bado tu hadi leo haja improve ata peak lini sasa?Smalling akiwa Mkuu na de gea msaidizi siyo mbaya. Shida ya De gea na Valencia naona siyo waongeaji ni wapole sana
huyu Di MAteo alichukua UEFA na bado akafungashwa virago, why?mbona mifano ipo ya makocha waliopewa mikataba ya kuendelea kufanya kazi.
- roberto di matteo = chelsea
- zinedine zidane = real madrid
- solano = real madrid.
- ole gunnar solakjaer = man utd hata kama asipopata nafasi ya 4.
ShukranHongereni watani kwa mbali sasa naanza kuona mtaleta ushindani kwenye ligi
Di Matteo - Chelseahivi hawa ma interim coaches hata wakichukua ubingwa huwa hawapewi timu kwa sababu gani?
huyu Di MAteo alichukua UEFA na bado akafungashwa virago, why?
Ushabiki wake hauwezi uka-override personal ambitions. Anajenga CV yake, anatafuta ugali wa familia.Mimi Ni mmoja ambaye Nimeumia Sana Kufukuzwa Mourinho! Musinishangae ila Kumbukeni kuwa "Adui Muombee Njaa"..
Na Njaa kubwa niliyokuwa nikiwaombea nikuwa Mourinho aogezewe Mkataba ili muzidi kupata Maumivu πππ
Kwa Upande Wa Wa Pili Nimefurahi Sana Kuteuliwa Mshabiki Nguli, Mshabiki lialia, Mshabiki Kindakindaki, Mshabiki Mkereketwa, Mshabiki Halisi Wa LIVERPOOL FC kamanda Ole Gunnar Solskjaer Kuwa Manager Wa Man United.
OGS Ni Boyhood Fan Wa Liverpool
Au apewe Ander msaidizi awe SmallingCaptaincy apewe Herrera alafu Pogba awe msaidizi. Licha ya kipaji bado ana utoto Pogba.
Ushabiki wake hauwezi uka-override personal ambitions. Anajenga CV yake, anatafuta ugali wa familia.
Niliwahi kuandika humu lile genge la Mourinho ni la kufunguliwa mashitaka kabisa. Wote waliokuwa wanamsupport Mou kuna agenda ovu nyuma yake.Mimi Ni mmoja ambaye Nimeumia Sana Kufukuzwa Mourinho! Musinishangae ila Kumbukeni kuwa "Adui Muombee Njaa"..
Na Njaa kubwa niliyokuwa nikiwaombea nikuwa Mourinho aogezewe Mkataba ili muzidi kupata Maumivu πππ
Kwa Upande Wa Wa Pili Nimefurahi Sana Kuteuliwa Mshabiki Nguli, Mshabiki lialia, Mshabiki Kindakindaki, Mshabiki Mkereketwa, Mshabiki Halisi Wa LIVERPOOL FC kamanda Ole Gunnar Solskjaer Kuwa Manager Wa Man United.
OGS Ni Boyhood Fan Wa Liverpool
Niliwahi kuandika humu lile genge la Mourinho ni la kufunguliwa mashitaka kabisa. Wote waliokuwa wanamsupport Mou kuna agenda ovu nyuma yake.
Hahaha naona wanaanza kujitokeza kwa kukiri hadharani agenda zao ovu.
Pole Sana mkuu. Kawekeni kambi Chelsea hali si hali huko London.
GGMU
AsanteMarekebisho kidogo, ni kutoka 18 Hadi 15.
Anaonhelea EPL, sio mechi zoteIliylfungaga dhidi ya Dortmund 5-2 mechi za kirafiki chini ya Mourinho huyo huyo, acha mahaba niue ya kinafki kijana
Kumbe jana umepigwa na Leicester ndio maana inaonekana una hasira sanaHata mimi siwezj kusahau ile mechi mliyobebwa na Web Chelsea tulipowapiga 3-0 half time tukiwa tunaongoza na Juana Mata afu li-Web likawabeba beba kwa penati zake za kijinga kijinga hadi mkadroo 3-3.
Kubebwa kuzuri sana lakini isiwe vise versa is true kwa mpinzani unayecheza naye Ndugu.