Acha kuja kutuvurugia sherehe. Endelea kupiga ramli na hasira zako za kuchaniwa mkeka Leo . Maana ulijia hizi ni enzi za Mmakonde mwenzenu mkawa mnajichinjia tu kwa Muhindi.
NB: Manchester United ninayoijua haijawahi kuwa Beki mzito anaeitwa Mangala. Itakuwa ni Manchester ya huko Kwenu Ileje au ushirombo.
Acha kuongea sana basi Mkuu maana hii mipira mnaweza kuongea kwa lugha tofauti mwanzoni afu baadye mkaja kuongea kwa lugha 1 mambo yakija kubadilika mbeleni.