Hizo laini nilizopigia msitari ziko very contradicting, hebu soma uone kama unapata logic.
Anyway it's a time for our Game.... Hahahaha Kama nakuona ulivyofura kwa kumuona Double P akiingia moja kwa moja kwenye first eleven baada ya kuchomeshwa mahindi na Ibilisi yule wa kireno.
NB: Ni Mgonjwa wa Milembe tu ndio anaweza kumuweka benchi Double P.
View attachment 974759