Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama pale angeKuwa anakuja Ole peke ake ningekua na mashaka sana na maamuz ya bodi ya Man united, Ila kwa kuweka wale watu wawil nyuma ya Ole kwa maana ya Phelan na mwenzie plus Carrick Let us give him the chance to prove to us ule utamaduni wa Manchester United uliopotea toka alipoondoka Fergie,

Tusisahau Phelan was the Man behind Fergie's success so kuna vitu atakuja kuongeza pale kutokana na uzoefu wake wa team na Ligi kwa ujumla.

Kwa sasa we are United with Ole.
 
Wakuu tumeletewa kocha wa zamani wa Cardif city ambaye aliishusha daraja
Mainz 04 ya ujeruman ilitaka kushuka daraja ikiwa mikononi mwa klopp borusi dortmund ilinusurika kushuka daraja mikononi mwa klopp hadi alifukuzwa kazi kisha akaja liverpool

Zidane aliishusha daraja real madrid castilla

Luis enrique alifukuzwa roma na celta vigo kisha akabeba ndoo 5 na barcelona

Sioni point yako hapo ukikosa wachezaj makini ukikutana na timu ngumu utapigwa tu

Angalia wolves endapo mbele wangekuwa na top players ingakuwaje?

Acha baby face apige kazi na bench zima la ufundi aliifundisha morde ya norway ilikuwa timu tishio mwama wa 2015/16 hadi rosenberg akawa anapata tabu timu iliharibika baada ya injuriea na kuuza wachezaji alikuja cardif timu ambayo tayar ilishapoteza uelekeo

Sina wasiwasi na benchi la ufundi ni suala la muda.
 
Solskjaer amefundisha Molde na Cardiff ambayo aliishusha daraja sasa uzoefu mkubwa ni upi
Huwezi kumlinganisha na scholes wala michael carick solskjaer ana uzoefu mzur tu aliipeleka molde europa baada ya kumaliza wa pili nyuma ya rosenberg hii ni baada ya kutolewa kwenye mchujo wa uefa wao wanatoa timu moja kucheza champions league
 
we nae mechi moja tu kelele kibao fala we
 
Je lilikuwa suluhisho kumtimua Jose mourinho?
Je baada ya kumtimua matatizo ya man united yatakuwa yamekwisha?
Je tatizo la man united lilikuwa mourinho au wachezaji?
Je baada ya mourinho kuondoka man united itaanza kufanya vizuri?

Ni maswali ninayojiuliza
 
Suala la muda tu ila kuna wachezaj walikuwa washamchoka
 
Jose' Mourihno alikuwa ameshaanza kutudharau hata sisi mashabiki..kufukuzwa kwake kuna mambo mengi na sio guarrantee kuwa tuchukua trebble siku sio nyingi..No,tunachohitaji ni timu iimarike na icheze kama timu kubwa duniani
 

Sawa Mkuu ngoja tusubiri tuone itakuaje
 
Sky Sports understands the Portuguese manager was also unwilling for the club to change its model and bring in a sporting director, as Arsenal did during the summer, but Neville told a The Debate special now was the time for United to step up to the plate and restructure their off-field operation.

Kumbe Mou hakutaka hili
 
Jambo jema kuhusu haya mabadiliko yaliyoanza kufanywa jana na leo ni pamoja kutafuta Director of Football ambaye ataanza kazi kabla ya summer

Klabu kua na Director of football ndio mfumo wa kisasa unaotumiwa na vilabu vikubwa duniani. Huyu ni daraja kati kocha na wachezaji (footballing factor) na CEO na board (administrative factor na commercial factor)

Uwepo wa Director of football utafanya kocha aajiriwe kwa kuzingatia filosofia ya club na wachezaji wasajiliwe kwa mujibu wa filosofia ya club

So haya mabadiliko yaliyoanza jana yanaweza kuwa na matokeo chanya (ya haraka) na/au ya muda mrefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…