Unaongea pumba sana , sijawahi kushuhudia pumba kama hii
Aliyekwambia barca wakimtaka mchezaj arsenal anaondoka tu kwasasa nan?
Unadhan chelsea inayochukuliwa wachezaj na madrid,
Na kama hujui hazard kashamalizana na madrid
Unasema arsenal ni timu ndogo, As if chelsea anacha kumzid arsenal ,
Arsenal huwez kuchukua mchezaj tuulize tukuambie ,
Arsenal ipo kwenye project, ndio maaana imefumua mfumo mzima, wa timu,
Ina wasaka vipaji, hivo huwez kuchukua mchezaj kirahis ,
Chelsea ni kibonde wa arsenal , nakushangaa unaongea utadhan unatokaga kwa arsenal,
Ushukuru ulikutana na arsenal bado inatafuta mfumo,
Mm wewe nakuhesabia sawa na kina fulham, chelsea hii ni ya 2004 , it means ww mpira umeanza kuujua mwaka 2010 ,