Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu jamaa hata akiwa bench timu ikifunga huwa anaenda kushangilia.
 
Pogba na Sanchez ni aina ya wachezaji wanaojiskia sana,yani wanajiona wakubwa kuliko timu,Sanchez amesumbua sana pale Arsenal. Niliona sehemu Walcott akimsema kuhusu tabia yake ya kujiona
Mtazamo wangu. Ujio wa Sanchez, Pogba hakufurahia.

Sanchez alipambana sana sema pressure ya kutoa matokeo mazuri ilimsumbua na kwa kiasi hakupata ushirikiano mzuri.

Hardwork without good results na ujio wake macho yote yalimtazama....ilimsumbua kisaikolojia na kuwa frustrated.

Bora ya Sanchez anajituma na unaona kuliko Pogba.
 
Anasema pogba kurudi kwny timu inabidi acheze kwa mentality kama wanayocheza wenzie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…