Kwani Pep kabeba Europa?Usimlinganishe Gardiola na huyo mzee..wala usitake kulinganisha makombe aliyobeba morinho na aliyobeba gadiola..!! Mornho hajabeba EPL..na haonekani km atafikia top4 msimu huu..
Mourihno anafurahisha sana..jamaa amesema Fred atacheza tukijiimarisha kwenye defence na kuwa strong.....je endapo tukikosa beki wa kusajili Fred hatapata nafasi kabisa au? Viteteo vingine ni uboga Kweli awafundushe kupossess mpira asitegemee world class players watuokoe
Upuuzi sasa huu..too defensive.jamaa amesema Fred atacheza tukijiimarisha kwenye defence na kuwa strong.....je endapo tukikosa beki wa kusajili Fred hatapata nafasi kabisa au? Viteteo vingine ni uboga Kweli awafundushe kupossess mpira asitegemee world class players watuokoe
Tatizo Lukaku pale Ubelgiji ana assistantsUtani tu siko serious sana nachotegemea watu kama martial kwa kuwa wana viwango vizito wamsaidie Lukaku afunge kama anavyofanya Belgium
Upuuzi sasa huu..too defensive.
Tukubaliane Pep Guardiola ni mwalimu wa mpira aisee..Huyu mourinho ameshamaliza muda wake
Sasa tusipopata mabeki wakali Fred ndo hatocheza tena??
Mourihno anafurahisha sana..
Hivi tatizo hasa la United ni Defense/Kiungo/Ushambuliaji Au Timu nzima?
Timu siyo mbaya kivile, jamaa anatafuta tu sbabu. Mentality ya kocha inapaswa kuchange. So mpenzi sana wa possession bali attacking footbal japo ni kweli kucheza attacking football unapaswa kuwa defensively well organized.Mourihno anafurahisha sana..
Hivi tatizo hasa la United ni Defense/Kiungo/Ushambuliaji Au Timu nzima?
Timu siyo mbaya kivile, jamaa anatafuta tu sbabu. Mentality ya kocha inapaswa kuchange. So mpenzi sana wa possession bali attacking footbal japo ni kweli kucheza attacking football unapaswa kuwa defensively well organized.
Tena kubwa sana,wenzetu ulaya wanaheshimiana sana,sisi ushabiki unatufanya kutoona ukweliDu kazi kweli kweli
Mkuu kununua wachezaji wazuri kwa mpunga mdogo huwezi kumlaumu Jose, hiyo ni kazi ya Scouting team. United ni kati ya timu chache zenye scout network kubwa Ulaya (50+ scouts) lakini wanakula tu bata kwenye vituo vyao vya kazi hawafanyi kazi. Na hawa ni moja kati ya entity za United ambazo Jose hayupo happy nazo.Tena anaongelea investment ili ionekane timu inahitaji kununua Kama psg.....angekuwa anajielewa angenunua wachezaji wazuri sana kwa bei ndogo akawachanganya na accademy players
LIVERPOOL FCjamaa amesema Fred atacheza tukijiimarisha kwenye defence na kuwa strong.....je endapo tukikosa beki wa kusajili Fred hatapata nafasi kabisa au? Viteteo vingine ni uboga Kweli awafundushe kupossess mpira asitegemee world class players watuokoe
Jamaa anakuambia "Timu nyingine zina potential kuliko sisi"LIVERPOOL FC
kocha: jose mourinho
- mignolet
- alexander arnold
- robertson
- joel matip
- dejan lovren
- james milner
- henderson
- divorg origi
- daniel sturridge
- adam lallana
- albert moreno
- dominic solanke
- markovic
- chamberlain
- xherdan shaqiri
Arsenal fc
kocha: jose mourinho
mwenye namba za yule mchungaji aliyemtoa amber rutty atuwekee tafadhali tunahitaji kuanzisha kampeni ya kumtoa gerezani sheikh jose mourinho, naamini yule mchungaji atatusaidia kwa sababu anaonekana ni mwerevu sana na hana ubaguzi wa aina yoyote.
- peter cech
- lichsteiner
- nacho monreal
- mohammed elneny
- koscielny
- sokratis
- holding
- mustafi
- welbeck
- kolasinac
- iwobi
- jenkinson
pia aliye karibu na jose mourinho amnunulie kioo apate kujitazama, pia amwambie sio nywele nyeupe pekee tu zilizopo kichwani mwake bali hata sura yake ya mvuto iliomvutia ed woodward imeshaanza kuzeeka na hata kama itatokezea atafanya upasuaji kama wanawake wa kiafrika na kupenda kwao maumbile makubwa mvuto wake wa mwanzoni utachelewa kurudi.
niliwahi kuuliza humu ndani kwa nini tulimsajili fred?
inaonekana ed woodward na jose mourinho hawana muda wa kuchat pamoja hata kwa kutumiana ujumbe wa tafadhali nipigie kwenye simu zao.
wapenzi wa fred naomba muwe wavumilivu kwa sababu serikali yetu tukufu ndio inatafuta pesa za kumnunua ndugu yake terry,au vidic,au ferdinand na au ndugu yake carvalho ricardo ili waje wamuezeshe fred apate nafasi ya kucheza.
- inaonekana jose mourinho amefikia nyakati hajui hata hitaji lake ni lipi na kama mourinho anafahamu mahitaji yake ya muhimu kwa nini alikimbilia usajili wa kiungo na si usajili wa mlinzi wa kati kama anavyolia kila siku na kwa nini alikimbilia usajili wa sanchez wakati ambao rashford na martial walikuwa wanacheza vizuri mwanzoni mwa msimu?
- je ed woodward alimuingiza choo cha kike jose mourinho kwa kumuahidi kuwa atamtimizia mahitaji yote au ni yeye mwenyewe mourinho alijiingiza choo cha kike kwa kuwa pengine alishapewa taarifa ya kwamba bajeti ya usajili haitazidi paundi millioni 80 ?
- tafadhali ed woodward na wewe huko uliko kama huna mpango wa kumuondoa mzee huyu madarakani basi mtimizie mahitaji yake ili kelele zake zimalizike na akose cha kujitetea pindi anapofanya vibaya.
sipati picha kama mourinho angelikuwa na wachezaji kama niliowataja hapo juu kupitia timu mbili zilizopo juu yetu muda huu.